Mjukuu.Slim
Member
- Nov 18, 2015
- 31
- 35
Mtoto huyo pichani katelekezwa na Mdada haifahamiki kama ni mzazi wake au Mlezi tu.Dada huyo alikodi bajaji huko maeneo ya yombo makangarawe na baada ya hatua chache dada huyo alimuamuru dereva huyo asimame ili ampitie rafiki yake ndipo akashuka nakutokomea kusikojulikana nakumuacha Mtoto huyo akiwa na dereva bajaji asijue hatma yake.Mtoto huyo yupo polisi chang'ombe kahifadhiwa kwa yoyote anaemfahamu awe rafiki, ndugu au jirani afike kituoni chang'ombe kwa kumsaidia mtoto huyo.