Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
poleni sana,niliwahi kutembelea kule dah simba wakikuona wanakumeze mate yaani wanatamani kama udumbukie ndani mwao wafutulu
Anafikiri wana JF wajinga ameshindwaje kupiga picha hata sehemu mtoto alipokua anavutwa.kaangalia taarifa ya habari anajidai alikuwepo.!
Jamani! Picha ya mtoto aliyeraruliwa na simba ina raha gani kuwekwa hapa? Hata hivyo mleta thread kajieleza vya kutosha kwamba muda aliokuwa nao aliutumia kumwokoa mtoto na si kupiga picha. Hongera Lukansola kwa kumwokoa mtoto badala ya kupiga picha.
mkuu hayo matundu yanatosha kupita mtoto
poleni sana,niliwahi kutembelea kule dah simba wakikuona wanakumeze mate yaani wanatamani kama udumbukie ndani mwao wafutulu
Kuna mpiga picha mmoja alipiga picha ya mtoto huko Ethiopia akitaka kuliwa na tai kwa alishindwa kukimbia shauri ya njaa.Jamani! Picha ya mtoto aliyeraruliwa na simba ina raha gani kuwekwa hapa? Hata hivyo mleta thread kajieleza vya kutosha kwamba muda aliokuwa nao aliutumia kumwokoa mtoto na si kupiga picha. Hongera Lukansola kwa kumwokoa mtoto badala ya kupiga picha.
Inaweza kuwa matundu hayo hayatoshi kupita mtoto lakini simba walidhania kuwa mtoto huyo anaweza kupenya katika matundu hayo au walitaka kumla hivyo hivyo (vipande vya nyama yake vinaweza kupenya katika tundu hilo).
tukio ni la kweli na lilioneshwa na ITV kwenye taarifa ya habari, acha ubishiMkuu unafanya promo ya hiyo zoo au? Mbona picha ya huyo mtoto hakuna wakati umeshuhudia tukio zima?
King Kong hata ningefanya promo isingekuwa kwa mtindo huu, muda ambao ningetumia kupiga picha ndio niliotumia kumuokoa mtoto huyo nikiwa na watu wengine kama wawili au watatu.
Kuna mpiga picha mmoja alipiga picha ya mtoto huko Ethiopia akitaka kuliwa na tai kwa alishindwa kukimbia shauri ya njaa.
Dunia ilimlaumu sana huyo mpiga picha mpaka mpiga picha akajiua kwa stress.
Ulifanya kilichobora under the circumstances. Hongera Lukansola.
hii habari ni kweli jana nimeona kwenye TV wamemuonyesha mtoto .ila kilicho niuzi ni mwenye zoo kutoa lawama kwa mzazi wa mtoto wakati wao wanajukumu la kutoa ulinzi inamana angetokea kichaa na kufungua mlango simba au chui watoke na kukimbilie mtaani lawama ni za nani.
inabidi hio zoo ingaramie gharama zote za mtoto mpaka apone na waombe radhi kwa wateja wao . mtoto amekamatwa na simba amesaidiwa na watazamaji wengine wala sio asikari wao walio pale. au mtaalamu wa wanyama pori.
pamoja na mzazi kuwa responsible na mtoto wake ila ile zoo inatakiwa kuwa responsible na wanyama wake wasiwadhuru wateja
mkuu unafanya promo ya hiyo zoo au? Mbona picha ya huyo mtoto hakuna wakati umeshuhudia tukio zima?
hii habari ni kweli jana nimeona kwenye TV wamemuonyesha mtoto .ila kilicho niuzi ni mwenye zoo kutoa lawama kwa mzazi wa mtoto wakati wao wanajukumu la kutoa ulinzi inamana angetokea kichaa na kufungua mlango simba au chui watoke na kukimbilie mtaani lawama ni za nani.
inabidi hio zoo ingaramie gharama zote za mtoto mpaka apone na waombe radhi kwa wateja wao . mtoto amekamatwa na simba amesaidiwa na watazamaji wengine wala sio asikari wao walio pale. au mtaalamu wa wanyama pori.
pamoja na mzazi kuwa responsible na mtoto wake ila ile zoo inatakiwa kuwa responsible na wanyama wake wasiwadhuru wateja
utakuta kasichana kenyewe kana afya mgogoro, na Silaha kaliyoshika mkononi ni kafimbo,halafu wanasema wanamlinzi wa simba. Pumbaf kabisa haopale zoo kuna msichana mmoja ambaye ndie kama mwangalizi, siku hiyo kazi yake ilikuwa ni kupiga mayowe na kukimbia ovyo kama mwehu.
mtoto alisogea karibu kiasi cha simba kuweza kumdaka kupitia matundu hayo, mtoto alikuwa nje simba ndani.