Nina wasiwasi na wewe kutaka hiyo Zoo isitembelewe na watu waogope kupeleka watoto wao! tuoneshe picha maana umeshamaliza kupigana na Simba, vinginevo nitakuona wewe ni mzushi!
Good job for saving a Life,God bless you.Habari wakuu,
leo nimeshuhidia tukio la kutisha na kusikitisha ambapo mtoto mwenye umri upatao miaka sita hivi amedakwa na simba wakati akiwa zoo.
inaonekana mtoto huyo alipenya kwenye fensi ndogo na kujikuta akiwa karibu kabisa na fensi kubwa yenye matundu makubwa na hatimaye kudakwa. kilichofuata hapo ni sisi kuanza kuwashambulia simba hao kwa mawe na hatimaye walimuachia mtoto huyo huku uso ukiwa umejaa damu na nyama za mapaja zikiwa zinaning'inia.
SOURCE: mimi mwenyewe, ninaishi karibu kabisa na eneo hilo.
Simba hao hapo pichani ndio waliotaka kukatisha maisha ya kiumbe huyo, sikuweza kupata picha ya tukio hilo kutokana na mshituko niliokuwa nao (lakini picha hii imepigwa mara baada ya tukio). Mama mtoto alizimia kwa muda, mtoto amechukuliwa kupelekwa hospitali.
waliokua na mtoto wanatakiwa kutandikwa bakosa
Tatizo sio Mama mtoto peke yake. Haiwezekani viewers wawe na access mpaka kugusa hiyo fencing ya cage. Hiyo zoo/hoteli tayari ina safety issues. Kwanza wanashindwa hata kuwatunza hao wanyama, Simba wana starvishwa mpaka vimekuwa kama vi mbwa koko vya uswahilini vinavyojitegemea? Simba gani hao wamedaka mtu halafu eti wakapigwa jiwe na mleta mada wakamtema mtoto!? Give me a break. Simba kakung'ang'ania umpige jiwe akuchunie, kawa mbwa?sasa huyo mama alikuwa mjinga kiasi gani hata asimwangalie mtoto wake anafanya nini? NIngekuwepo ningemkata vibao mamake wa huyo mtoto.
Umesomeka Kamanda! Ila ungeweka picha ya mtoto ingeboresha thread hii.
Habari wakuu,
leo nimeshuhidia tukio la kutisha na kusikitisha ambapo mtoto mwenye umri upatao miaka sita hivi amedakwa na simba wakati akiwa zoo.
inaonekana mtoto huyo alipenya kwenye fensi ndogo na kujikuta akiwa karibu kabisa na fensi kubwa yenye matundu makubwa na hatimaye kudakwa. kilichofuata hapo ni sisi kuanza kuwashambulia simba hao kwa mawe na hatimaye walimuachia mtoto huyo huku uso ukiwa umejaa damu na nyama za mapaja zikiwa zinaning'inia.
SOURCE: mimi mwenyewe, ninaishi karibu kabisa na eneo hilo.
Simba hao hapo pichani ndio waliotaka kukatisha maisha ya kiumbe huyo, sikuweza kupata picha ya tukio hilo kutokana na mshituko niliokuwa nao (lakini picha hii imepigwa mara baada ya tukio). Mama mtoto alizimia kwa muda, mtoto amechukuliwa kupelekwa hospitali.
Kuna haja ya watu kupata elimu ya namna ya kutembelea hizo Zoo, sasa huyo mama alikuwa mjinga kiasi gani hata asimwangalie mtoto wake anafanya nini? NIngekuwepo ningemkata vibao mamake wa huyo mtoto.
Anafikiri wana JF wajinga ameshindwaje kupiga picha hata sehemu mtoto alipokua anavutwa.kaangalia taarifa ya habari anajidai alikuwepo.!Hao simba hawana hata damu!!!! Du!!! Anyway PICHA ILIPIGWA KABLA. YA TUKIO