Sosthenes Maendeleo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 2,649
- 1,497
Mimi sio mganga wala daktari, dawa za michango kwa watoto hupatikana kwenye maduka ya dawa za asili au wamasai (haswa mama yo-yo)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wew ndio dokta sasa.
Nisaidie mkuu na mm nizijue dawa za kutibu hilo tatizo angalau kwa majina.
Maana hata mm nafahamu hilo tatzo madaktar wengi hawalijui na huwapa watto wengi dawa kwa kuhis ni tatizo jingine na kushindwa kujua ni nn tatizo kwa mtto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app