Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,272
Kama first aid paracetamol ya watoto inakuwa na kipimo unaweza kumpa kupunguza joto. Juu ya bum is feni sifahamu kwakweli lakini huwa wazazi wanapewa hospitali ili kuokoa maisha ya mtoto.feni si nzuri,mostly zinakua na vumbi hivyo kuleta madhara kwa mtoto,,paratemolna kumpunguza nguo inatosha,ni jukumu la mganga/dakatri kumchunguza mtoto ili kujua tatizo lake coz si kila homa ni malaria na kuna magonjwa mengi yanayopresent kama malaria