Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Wadau habari zenu mke wangu ana mtoto wa mwaka mmoja na miezi minne (miezi 16), tena alijifungua kwa operesheni na sasa amepata tena ujauzito.
Nisaidieni
*Je, kuna madhara yoyote anayoweza kuyapata mtoto huyu mwenye mwaka na miezi minne anayoweza kuyapata? Maana bado ananyonya.
*Nifanyaje ili mke huyu, mtoto wangu na kiumbe kilichopo tumboni waweze kuwa imara (Healthy)?
Tafadhali, wadau wenye uzoefu na utaalamu
Nisaidieni
*Je, kuna madhara yoyote anayoweza kuyapata mtoto huyu mwenye mwaka na miezi minne anayoweza kuyapata? Maana bado ananyonya.
*Nifanyaje ili mke huyu, mtoto wangu na kiumbe kilichopo tumboni waweze kuwa imara (Healthy)?
Tafadhali, wadau wenye uzoefu na utaalamu