Mtoto amekua, kawa pisi kali

Mtoto amekua, kawa pisi kali

Ni demu wa kawaida wala sio pisi kali labda kwavile cheupe.
Ila sikupingi mkuu uzuri u machoni pa mtu.
Machoni pangu mkuu namuona mtoto Mtamu kwelikweli hivi nimezubaa tu nacheki kapicha kake
 
Kanasoma UDSM nimekutana nako mara kadha wa kadha.
 
Kanaonekana kameshaliwa kwa chumvi muda mrefu sana!!
 
Yuko 2nd year nafahamiana na rafiki yake mmoja. Anajitahidi kutokuwa na skendo, ana nafuu sana kuliko wenzake kibao wenye mambo mengi ila hawafatiliwi na sio maarufu. Uzi huu kuna speculations ambazo ni bullying kwake
Anasoma kozi gani
 
Tuache utani mtoto anaradha yake.

Nyie hzo saratani mnazozisengenya wengine ndo mito yetu mtuache😊😊
 
Back
Top Bottom