Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,413
- 5,319
Ukute familia imeshapata oda tayari ya atakaye muoa
ala kumbe alikuwa mzee wa kuzibua vithoda eeee !!!Kanumba angekuwepo angekuwa ashakabikiri
Hahaaaaa umenikumbusha kauli ya kikulungwa "uzuri wa mwanamke ni udhaifu wa macho yako"Kanumba angekuwepo angekuwa ashakabikiri
Kaka hydraulic jack imehusikaHizo 'saratani' mbona hazilingani na umri wake?.
Ila mwendazake naye alikuwa anakojolea sehemu nzuri.

.Yuko 2nd year nafahamiana na rafiki yake mmoja. Anajitahidi kutokuwa na skendo, ana nafuu sana kuliko wenzake kibao wenye mambo mengi ila hawafatiliwi na sio maarufu. Uzi huu kuna speculations ambazo ni bullying kwake