anashtakiwa kwa sheria ipi?
sharia
anashtakiwa kwa sheria ipi?
Msichanganye issue, kuna mtoto mmoja wa Pemba alikojolea Msaafu siku mbili kabla ya Mbagala... Kesi yake ipo Mahakamani huko Pemba!
usijali!sisi tuko juu ya sheria,na hao mlio waweka mapumzikoni tunaenda kuwa chukua ijumaa baada ya swala ya alsiri,tena kwa maandamano makubwa haijapata kutokea!!!Nasikiliza BBC jioni hii,kuna taarifa kua mtoto aliyekojolea Msaafu amefikishwa mahakamani.Swali langu je waliharibu magari na makanisa,nao wamefikishwa wapi?Tunaomba mwenye taarifa please atujuze
usijali!sisi tuko juu ya sheria,na hao mlio waweka mapumzikoni tunaenda kuwa chukua ijumaa baada ya swala ya alsiri,tena kwa maandamano makubwa haijapata kutokea!!!
Nasikiliza BBC jioni
hii,kuna taarifa kua mtoto aliyekojolea Msaafu amefikishwa
mahakamani.Swali langu je waliharibu magari na makanisa,nao wamefikishwa
wapi?Tunaomba mwenye taarifa please atujuze
Siku hiyo ndiyo mtajua kuwa nini ni uzao haram!
usijali!sisi tuko juu ya sheria,na hao mlio waweka mapumzikoni tunaenda kuwa chukua ijumaa baada ya swala ya alsiri,tena kwa maandamano makubwa haijapata kutokea!!!
Wakuu nasikiliza BBC,kuna taarifa kua aliyekojolea msaafu amefikishwa mahakamani.Swali langu,tunaomba pia tupate taarifa,je waliharibu magari na makanisha wamefikishwa wapi?Sheria ni sheria ile pande zote.Mwenye taarifa please
Wanasema alikuwa na miaka 14,mimi ambacho sijaelewa hivi awa watu wanatumia akili gani?mtu mzima ,baba mwenye familia anayeelewa nini watoto ufanya yuko busy kuandamana na kuchoma makanisa heti kisa mtoto wa miaka 14,hivi kweli huyu ni mzazi na ana akili timamu?mangapi maovu binadamu huyafanya kwa kisingizio cha dini?baba mzima na mindevu unaandamana kulaani mtoto wa miaka 14?is this not insanity?hivi kama huyo anayeandamana akisikia mwanae kaonekana akila kiti moto kijiweni atamnyonga mwanae au atamkanya?Nataka kujua umri wa mtoto kwanza ndo naweza kutoa maoni yaliyonyooka
Wanasema alikuwa na miaka 14,mimi ambacho sijaelewa hivi awa watu wanatumia akili gani?mtu mzima ,baba mwenye familia anayeelewa nini watoto ufanya yuko busy kuandamana na kuchoma makanisa heti kisa mtoto wa miaka 14,hivi kweli huyu ni mzazi na ana akili timamu?mangapi maovu binadamu huyafanya kwa kisingizio cha dini?baba mzima na mindevu unaandamana kulaani mtoto wa miaka 14?is this not insanity?hivi kama huyo anayeandamana akisikia mwanae kaonekana akila kiti moto kijiweni atamnyonga