Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 13,209
- 20,957
Mtoto wa mwaka mmoja na miezi miwili Lightness David aliyepotea kwa siku nne Leo amekutwa amekufa ndani ya hodhi la maji linalokadiriwa kuwa na urefu wa futi saba ndani ya msikiti wa sheikh Othman Maalim huko Masingini Zanzibar.
Source: Zenj FM
Source: Zenj FM