Mtoto akutwa amekufa msikitini Zanzibar

Mtoto akutwa amekufa msikitini Zanzibar

Dahh binadamu tumekuwa hatari kuliko neno hatari lenyewe. Mwanafunzi mwingine amenyofolewa moyo huko kisa mganga alimtuma moyo wa binadamu.
Mengi be tu muogope aliyetuumba manake hata shetani atawakana
 
Kama ni chuki au kisasi aliyefanya hivyo kwa kweli hata shetani anamshangaa.
Maana hawezi pambana na huyo mtoto ni dhahiri akili zake zinamapungufu.

Hakika mkuu hata shetani menyewe anaona aibu kwa unyama wanaofanya binadamu nyakat hiz
 
Kuna vitu vya kujiuliza kabla ya kutoa maamuzi.1.Ndani ya muda ambao mtoto "amepotea",alibebwa,na nani 2.Baada ya mtoto kutooneksna katika muda huo,je;kuna taarifa ya Polisi (R.B.) kuhusiana na upotevu wa mtoto?-3.Kwa umri tajwa na mleta uzi,mtoto(malaika-RIP)asingeweza kwenda pekee katika hodhi.Naomba Polisi,kwa kushirikiana na viongozi wa msikiti wafanye uchunguzi na pengine,hata waumini,ni vigumu kiumbe-bin adam kuwa ndani ya maji kwa siku nne pasipo mtu kugundua.Mw.Mungu ailaze pema roho ya marehemu.
 
Back
Top Bottom