Hv sijui tunaelekea wapi Tanzania,DSM haina RC kwa muda sasa hii sio kusema wenye sifa hawapo bali propaganda zinaendelea,Kuna kitu nyuma ya pazia kina eleza kuwa kuna yule aliyekosa jimbo Arusha mjin ndiye mlegwa,akimaliza kulea basi jiji litapata RC.
Si kweli ni kwamba kuna tetesi kwamba kila anayependekezwa kwa mkulu anakuwa ni "kafir" hivyo kuna kibarua cha kutafuta mtu mwingine mwenye sifa ya ziada.
Hv sijui tunaelekea wapi Tanzania,DSM haina RC kwa muda sasa hii sio kusema wenye sifa hawapo bali propaganda zinaendelea,Kuna kitu nyuma ya pazia kina eleza kuwa kuna yule aliyekosa jimbo Arusha mjin ndiye mlegwa,akimaliza kulea basi jiji litapata RC.
Nyerere- Makongoro na....7. Jk - r1
1. Labda kama JF kimekuwa kijiwe cha majungu, matusi, mambo ovyo ovyo tu..Basi endeleeni...........
2. Labda baadhi yetu tunapost na kujibu hoja ili kutoa dukuduku na chuki zetu dhidi ya Utawala wa sasa....na pengine ni sawa tu endeleeni.....
3. Labda ni kweli kuwa JF hapa kuna baadhi ya watu wanalo lao jambo, poa tu endeleeni......
4. Lakini kama hayo si kweli ninadhani tuwe na subira ili tuone ni akina nani watateuliwa katika nafasi za Ma-RC, Ma-DC na Ma-DED, kisha tuanze kuwajadili maana tutakuwa na vigezo.