sijui mijinaume mingine ipoje mwenzangu? ni ukame au ni nini?
duh inasikitisha sana hata hivyo pole sana japo sio leo,lakini dunia ndio iko hivyo kuna watu na wanadamu.ni ushetani kabisa,mi siku moja kwenye dadadala nikamshtukia kaka mmoja ananisukuma sana,nikageuga nikasogea,mara gari lilivyochanganya akarudia tena kunisogelea na this time kafungua kabisa zipu dude limesimama anajisugua na mimi,nikajua hii mb.... live,niligeuga nilimpiga mangumi dabodabo kwa uchungu na hasira,nilipiga kelele watu wanashangaa,anaanza kunitukana eti najishuku nikamwambia unauhakika najishuku piga kibao cha uso nikawaonyesha watu ona dudu lake,watu jamaniii hawakuamini ndio linafunga zipu,piga tena vibao ndio wanaume wakaingilia walimpiga nusu auliwe na akashushwa kwenye gari wengine wakashuka nae alipigwa kwa kweli mpaka nikaanza kumhurumia tena.Ila alikuwa bado hajapizi,nikawa ninaimagine angenichafua sijui ningemraruaje.Ilibidi nishuke kituo cha mbele nikarudi home maana niliumia mikono kwa kumpiga na nilichafuka blaus maana nilipigana live,looh,sitakuja kusahau!
wale wale.Ni u'rijali uliopitiliza,vitu vinakuwa karibukaribu
mmmh mimi nahisi nitakufa hapo haponi ushetani kabisa,mi siku moja kwenye dadadala nikamshtukia kaka mmoja ananisukuma sana,nikageuga nikasogea,mara gari lilivyochanganya akarudia tena kunisogelea na this time kafungua kabisa zipu dude limesimama anajisugua na mimi,nikajua hii mb.... live,niligeuga nilimpiga mangumi dabodabo kwa uchungu na hasira,nilipiga kelele watu wanashangaa,anaanza kunitukana eti najishuku nikamwambia unauhakika najishuku piga kibao cha uso nikawaonyesha watu ona dudu lake,watu jamaniii hawakuamini ndio linafunga zipu,piga tena vibao ndio wanaume wakaingilia walimpiga nusu auliwe na akashushwa kwenye gari wengine wakashuka nae alipigwa kwa kweli mpaka nikaanza kumhurumia tena.Ila alikuwa bado hajapizi,nikawa ninaimagine angenichafua sijui ningemraruaje.Ilibidi nishuke kituo cha mbele nikarudi home maana niliumia mikono kwa kumpiga na nilichafuka blaus maana nilipigana live,looh,sitakuja kusahau!
Heeh! Sasa bomba aliliachia side ways! Pole sana, that would haunt me!
Cha kusikitisha polisi watakuwa walipewa tshs 20,000 tu na kumuachia jamaa. Damn this cursed country!
Mimi ningedili na waalimu. Nadhani nitakuwa na clear time table for my kids, saa ngapi wanaenda shule, saa ngapi wanatoka na saa ngapi wanafika home (allowance ya foleni time). Waalimu watakuwa na clear instructions, wanangu hawatoki bila mimi kuwachukua ama baba yao! Waalimu ni walinzi wa watoto, why watoto wanafugwa huria kama mbwa koko (forgive my lingua)
King'asti tukubali kuwa dunia imebadilika ya ulezi wa watoto
Nakumbuka wakati mie nakua, mzazi jirani nilikuwa nampa heshima sawa na wazazi wangu
Na hata akinikuta nafanya kitu si sawa, ananifokea kama mzazi wangu
Kadhalika walimu nao, pamtoja na kuwa adhabu zao zilikuwa kali lakini walikuwa wana-act pale pale
Mwalimu hata akukute umesimama chemba muda wa home kesho atakutangaza na kukuadhibu shuleni
Siku hizi hii haispo tena, mtoto ana haki, haki zenyewe tumekopi na kupaste hatujui hata utekelezaji wake kwenye maisha ya kawaida ukoje.
Sasa hivi mtoto ana haki mara ya kuwa na biufrend ila wasingonoke, huyo huyo mtoto keshachezwa unyago anatamani kupractice.
Enzi zangu niende home na kivulana afu niseme ni boyfrend, 'Chinekeeee" tunagawana majengo ya serikali, mie muhimbili mzazi Segerea
Mi naona tumejichanganya sana.
ni uhuni uliopitiliza ujue watoto wanabakwa sana kwenye jamii zetu..mimi nilishanusurika kubakwa mara 3 nikiwa mdogo