Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
|
| |
|
|
| |
|
sijui mijinaume mingine ipoje mwenzangu? ni ukame au ni nini?
ni uhuni uliopitiliza ujue watoto wanabakwa sana kwenye jamii zetu..mimi nilishanusurika kubakwa mara 3 nikiwa mdogowanatudhalilisha sana wanaume...hivi kweli dunia ya leo bado watu wanaendelea kubaka? nashindwa kweli kuelewa nini kimo ndani ya hivi vichwa vyetu.
ni uhuni uliopitiliza ujue watoto wanabakwa sana kwenye jamii zetu..mimi nilishanusurika kubakwa mara 3 nikiwa mdogo
ni uhuni uliopitiliza ujue watoto wanabakwa sana kwenye jamii zetu..mimi nilishanusurika kubakwa mara 3 nikiwa mdogo
Ni ugonjwa wa akili pia...mbona naona kama watu wako free zaidi siku hizi kufanya wanayotamani bila kubaka?
SI si alikwenda naye kuaga mwili wa Kamanda wake jamani? Au hana haki?msichana utaingiaje katikati ya wanaume? Si katulie nyumbani kasome .. Hii ni kazi ya dunga dunga
sijui mijinaume mingine ipoje mwenzangu? ni ukame au ni nini?
nani amekuambia umekuwa wakati wew bdo kindamimi nilishanusurika kubakwa mara 3 nikiwa mdogo
asee madunga dunga mpaka msibani?
Wanaume wengine manii sijui ni zipo karibu au nini, kuna kijana aliwahi kupigwa kwa kumchafua dada waliyekua wamebanana kwenye daladala baada ya dada kushangaa jamaa anambana na akigeuka jamaa naye anageuka ndiyo dada akashuka ameshachauliwa ikabidi amuumbue na kijanaa akaambulia makonde na fedhea juu.
SI si alikwenda naye kuaga mwili wa Kamanda wake jamani? Au hana haki?
Ila tukumbuke kuwa si kila mtu huwa na nia iliyo njema kila wakati, humo humo kwenye mkusanyiko kuna walokwenda kwa nia ya kuiba ingawa sidhani kama huyo alotenda kitendo hicho alikwenda kwa nia ya kutenda hivyo au ni kawaida siku hizi??