Mtongoze mwanamke ndani ya dakika tatu

Mtongoze mwanamke ndani ya dakika tatu

Haha hizo ziko powa ijapokuwa mimi nawakamata easly tu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
yani ndani ya dk 3 ndo unasaula hayo yote au mi ndo sijaelewa?
 
Wakati mwingine wanaume huwa tunajichunisha wenyewe kudhani hela ndo kila kitu,hao wanawake wanaoonekana cash madam tunawaendekeza tu,ndio maana unaweza kuchunwa kisha pesa hiyo akahongwa muosha rungu hahaha!!
hahah! sawa muosha rungu,
lakin mpaka wewe unahongwa kwa hela yangu kumbuka mimi nimesha gegeda sana
 
dk 3 chache sana ...labda abake...changudoa mwenyewe humnyakui...kwa hizo dk....mpaka akupimie kwanza...hapa ametulisha kasa labda dk 20
Kwani inachukua dakika ngapi kumuona mwanamke Na kumsalimu?!!,kumbuka one mistake one goal.
 
Huyo hatakua sio demu ni malaya anakuesabia nawewe ujione ni bingwa kumbe wapi
 
Anamaanisha ck yakumwambia I love you dk3 jibu ushapata
aaanha ila haya mambo michosho sana yan manakua kama mnawindana yani..inaweza kua unajitutumua umuingize kwenye 18 kumbe yeye ndo anakukamata yani
 
Back
Top Bottom