**** moto ni uwanja wa mpira huko japani,
nakumbula korea - Japan world cup kuna mcjezaji Wa Ubelgiji anaitwa MBO MPENZA akakipiga ndani ya huu uwanja , magazeti ya bongo yakaandika, "MBO Mpenza ndani ya **** MOTO"
majina haya kwa wengine burdani kwelikweli...Kumamoto Takowaka Mjapan hatari huyo kwao.
Kuna sehemu kigamboni inaitwa mboromaji
mbona na sisi kwetu kunawamasai wanaitwa,Kumambelegese,Lukundu rohoma,Serenkuma
Mto huu hutembelewa na zaidi ya watalii 70000 kila mwaka.
nilikwisha muambieni nikaitwa mchochezi/mbaguzi n.k.
Duh!!!! Huko japan kweli kuna visa, me nimeishia kucheka tu.
Picha tafadhari