Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Mchungaji Mtikila alikuwa na maono kisiasa hapa nchini.
Ni kiongozi wa kisiasa aliyekumbana na rungu la watawala kuliko kiongozi wa upinzani yeyote hapa nchini.
Sikilizeni baadhi ya maneno yake na ushauri wake juu ya wazanzibar na kwa yanayo tokea sasa mtagundua kuwa alikuwa na maono.
Ni kiongozi wa kisiasa aliyekumbana na rungu la watawala kuliko kiongozi wa upinzani yeyote hapa nchini.
Sikilizeni baadhi ya maneno yake na ushauri wake juu ya wazanzibar na kwa yanayo tokea sasa mtagundua kuwa alikuwa na maono.