MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,976
Mtikila at its best!
JFK wabongo hebu nisaidie. Hii habari kuwa ma-mvi alichafua jukwaa ni kweli? Kama kuna thread hapa kuhusu hilo,ipandishe niisome
Mnakumbuka kuwa huyo ndiye aliyeleta sera za kibaguzi za magabachori?
Mtikila anaongea fact kweli,ungiangalia kwa sasa ukawa hata clips za mgombea wao hawaonyeshi,jamaa hata hajulikani anaongea nini maskini,wanaokwenda kwenye mikutano wanasikitika sana
Mimi nawashangaa watu walioelimika na wengine waliobobea kwenye mageuzi kwa kuendelea kumkumbatia LOWASSA.
Swali langu kwao ni kuwa, hivi siku zote walikuwa wanafanya nini kama walikuwa wanasubiri MZOGA WA CCM NDIO UJE UWAONGOZE?
Miaka ya 90 utawala wa mzee Mwinyi ukiwa umeyumba sana na Mtikila akiwa juu na chati ya Gabacho ri aliitwa na 'wakuu' wasikie kama alikuwa na uwezo wa kuongeza nchi! Wakastuka ni material fake kabisa! Toka wakati huo huwa namuona ni takataka tu na sijui kwa nini watawala wa CCM wanamtumia!
wewe unaye andika ujinga uhu yaonekana bado unawategemea wazazi. Ukianza maisha ya kujitegemea utaacha kuandika ujinga wa kiishabikia ccm.