ghilipolla
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 280
- 53
Epidomea ndio inayowasumbua kweli CCM hahahaha haha safi sana Mtikila ww ndio shujaa wa nchi ya Tanganyika, don't give up we love you
na hasa yule waziri 'tyson'......
Akihutubia maelfu kwa maelfu ya watu wa visiwa vya Pemba jana alianza kwa kusema ''Saa ya ukombozi imefika'' akaendelea kumwaga vitu kama ifuatavyo:-
''Siku 1 mi mwenzenu ni mchungaji kule uingereza niliwauliza maaskofu wenzangu kwamba sisi sote kama si wanafiki kwanini mulisema sisi watu weusi ni nyani? Askofu 1 akanijibu aliokuambia hivyo hakukumalizia kulikuwa na biashara ya utumwa kwaiyo vyuo vikuu vya uingereza vya kanisa vilikaa vikavilamisisha serikali lazima ziende vikavunje ile biashara ya utumwa afrika na kukomesha biashara ya utumwa afrika''
''Kwaiyo walipofika afrika wakarudi kutoa majibu kwamba wale watu si binadamu halisi kwa sababu wanauzana wao wenyewe kwa wenyewe kwa tende na halua''.
''Kiongozi anachukua watu akishaonjeshwa anauliza je mtanipa kiroba? Ndio! kwaiyo anatoa amri wanakamtwa walalahoi waliokuwa wanalima wanakwenda ambako hawatarudi''.
''Ndio maana tumeona tutoe ripoti askofu akatumabia hawa ni binadamu wenzetu ila wanahitaji elimu, dini safi manake hata na sisi tulikuwa watu wa pangoni''.
''Sasa tatizo ni tofauti kati ya wadamu na wanyama ndio tulioizingiatia ila waliumbwa kwa roho ya uhanga ila wao wanauza utu wao wanakwenda utumwani halafu hawarudi''.
''Kuna lile gonjwa linaitwa Epidomia. Ukimuona mtanganyika hajali utaifa wa wana utanganyika kwa sababu anapata pesa, utawala, anataka chochote basi ndio ule ule unyani wa siku zile''.
''Unaweza kumuona mtu mwenye unyani anasindikizwa na mapikipiki lakini yuko tayari apate madaraka kwa watanganyika dodoma asikubaliane na wazanzibar, awafanye wazanzibar wanavyotaka wenzake kule Dodoma, ni sayansi ya kweli. Mtu huyu ana tatizo la unyani, anayo Epedomia''.
''Kinacho wasumbua serikali 2 serikali 2 ni unyani (Apedomia). Matatizo ya Jakaya kikwete ni makubwa sana na tatizo ni lile lile la Epedomia''.
Akaendelea kusema Kikwete anasema Jeshi litachukua nchi amesahau kuwa hao hao wanajeshi kuna ndugu zao ambapo kila mtu ana ndugu mwanajeshi si rahisi jeshi kuja na kumtawala ndugu yake na kumtesa akasema pia Rais JK kuwa na mawazo hayo ni tatizo la Epedomia (Unyani).
Una tatizo la unyani unyani wewe!mtikila amejiunga na chadema chumbani au chadema sebuleni??
Akihutubia maelfu kwa maelfu ya watu wa visiwa vya Pemba jana alianza kwa kusema ''Saa ya ukombozi imefika'' akaendelea kumwaga vitu kama ifuatavyo:-
''Siku 1 mi mwenzenu ni mchungaji kule uingereza niliwauliza maaskofu wenzangu kwamba sisi sote kama si wanafiki kwanini mulisema sisi watu weusi ni nyani? Askofu 1 akanijibu aliokuambia hivyo hakukumalizia kulikuwa na biashara ya utumwa kwaiyo vyuo vikuu vya uingereza vya kanisa vilikaa vikavilamisisha serikali lazima ziende vikavunje ile biashara ya utumwa afrika na kukomesha biashara ya utumwa afrika''
''Kwaiyo walipofika afrika wakarudi kutoa majibu kwamba wale watu si binadamu halisi kwa sababu wanauzana wao wenyewe kwa wenyewe kwa tende na halua''.
''Kiongozi anachukua watu akishaonjeshwa anauliza je mtanipa kiroba? Ndio! kwaiyo anatoa amri wanakamtwa walalahoi waliokuwa wanalima wanakwenda ambako hawatarudi''.
''Ndio maana tumeona tutoe ripoti askofu akatumabia hawa ni binadamu wenzetu ila wanahitaji elimu, dini safi manake hata na sisi tulikuwa watu wa pangoni''.
''Sasa tatizo ni tofauti kati ya wadamu na wanyama ndio tulioizingiatia ila waliumbwa kwa roho ya uhanga ila wao wanauza utu wao wanakwenda utumwani halafu hawarudi''.
''Kuna lile gonjwa linaitwa Epidomia. Ukimuona mtanganyika hajali utaifa wa wana utanganyika kwa sababu anapata pesa, utawala, anataka chochote basi ndio ule ule unyani wa siku zile''.
''Unaweza kumuona mtu mwenye unyani anasindikizwa na mapikipiki lakini yuko tayari apate madaraka kwa watanganyika dodoma asikubaliane na wazanzibar, awafanye wazanzibar wanavyotaka wenzake kule Dodoma, ni sayansi ya kweli. Mtu huyu ana tatizo la unyani, anayo Epedomia''.
''Kinacho wasumbua serikali 2 serikali 2 ni unyani (Apedomia). Matatizo ya Jakaya kikwete ni makubwa sana na tatizo ni lile lile la Epedomia''.
Akaendelea kusema Kikwete anasema Jeshi litachukua nchi amesahau kuwa hao hao wanajeshi kuna ndugu zao ambapo kila mtu ana ndugu mwanajeshi si rahisi jeshi kuja na kumtawala ndugu yake na kumtesa akasema pia Rais JK kuwa na mawazo hayo ni tatizo la Epedomia (Unyani).
Huyu Mtikila si wa Kumuamini. ni kigeugeu. Hizi ni baadhi ya kauli zake tata
Mtikila: Kuna CHADEMA MBILI - 'CHADEMA Chumbani' na 'CHADEMA Sebuleni'
Mchungaji Christopher MTIKILA azidi kupiga msumali wa MOTO katika JENEZA la Chadema mashumbulizi yake yamuelekea Edwin MTEI
"Amemtuhumu mmoja wa wanzilishi na m/kiti wa kwanza wa chadema Edwin MTEI, akidai kuwa ni muasisi wa dhana ya UKABILA na UKANDA katika chama hicho huku m/kiti wa sasa Freeman MBOWE na Katibu wake SLAA wakidaiwa kuboresha mfumo huo KISASA zaidi kwa kuweka NAKSH NAKSH"
Hata kinacho wafukuza Zitto na wenzake ktk Chadema ni matokeo ya kuota mizizi kwa mfumo wa UKABILA na UKANDA ambao hauruhusu mwanachama yoyote kuhoji mapato na matumizi ndai ya chama"
WATANZANIA waelewe Chadema si chama cha siasa na VIONGOZI wake si wanasiasa wa kweli, kwani hawana MAONO wala MALENGO ya kuwakomboa watanzania
KWA UJUMLA NI GENGE LA WALAJI TU!!!
Ndani ya chadema kuna kundi linaitwa "BIG EIGHT " ambalo linaudwa na wazee wa KICHAGA na kiongozi wao mkuu ni Edwin MTEI akisaidiwa na akina Mariale na Ndessamburo,
Hawa ndio wenye chadema yao ambapo moja ya MAJUKUMU yao ni kulinda maslahi ya kichaga ndani ya chama,Kuna Chadema mbili kuna chadema ya CHUMBANI na Chadema ya SEBULENI"
Source gazeti la Umma Tanzania 4/12/2013
---------------------------------
By Avanti![]()
![]()
Ukweli nimekuwa nafurahishwa sana na "role" ya CDM kama chama cha upinzani Tanzania ingawa kwangu mie CDM na CCM ni kama mashetani wawili, hivyo basi between the two evils choose the lesser one. Kwa kuwa nilishavutiwa sana na CDM kwa hivi karibuni, mapungufu yanayojitokeza ndani yake hivi sasa ukweli yananifanya tumbo linikate kiasi fulani. Katika jitihada za kujaribu kupata mawazo ya jinsi ya kuepusha mgogoro zaidi kwa kutumia njia ya kidiplomasia nimefanya jitihada binafsi za kuongea na viongozi wa juu kama saba hivi wa pande zinazovutana bila wao kujua natafuta nini (sikufanikiwa kuongea na Mbowe tu). Katika maongezi yangu ambayo ilikuwa ni kama wa kitafiti nimegundua yafuatayo:
1. Ukweli ugomvi mkubwa ni kati ya Mbowe na Zitto (hawa wamesababisha makundi yanayosigishana).
2. Kundi la Mbowe lingependelea Zitto awe nje ya CDM na sio ajirekebishe.
3. Kundi la Zitto, likiongozwa na Zitto mwenyewe linajiona lina mchango mkubwa sana kuisababisha CDM iwe ilipo na hivyo basi iwapo Zitto atatimuliwa atakuwa kaonewa sana.
4.Kundi la Mbowe limebambika kashfa kuwa Zitto ni Msaliti ili kumsababishia aonwe mbaya na asiyefaa ilihali likijua kuwa Zitto kamwe hawezi kuisaliti CDM kwa mapenzi aliyonayo kwayo.
5. Kundi la Zitto linaona akina Mbowe pamoja na kuminya demokrasia zaidi ndani ya CDM, wanatumia rasilimali za CDM isivyo, na kupakaza kuwa akina Mbowe wananufaika zaidi katika rasilimali za CDM kwa kuwanyima haki viongozi wa chini.
6. N.K
Hayo ni baadhi tu ya matokeo ya utafiti wangu usio rasmi kwa jambo hili uliotokana na hao vigogo saba wa CDM niliowahoji.
Baada ya kupata matokeo hayo niliamua pia kuhoji namna ambavyo mgawanyiko huo unaweza kutatuliwa na nikapata baadhi ya majibu kama hivi:
1. Kundi la Mbowe linadai hamna namna ya kumaliza mgogoro huo sababu Zitto hawezi tena fanya kazi na viongozi wa sasa (haaminiki) na wanaamini hawezi kushuka chini, na dawa ni kumtimua au mwenyewe ajitoe CDM.
2. Kundi la Zitto linadai Zitto asafishwe kwanza asiitwe Msaliti na apewe nafasi zaidi ndani ya CDM, hapo mgogoro utaisha.
3. Pande mbili zikutanishwe na kila upande ukiri makosa yake then wale viapo vya kutoangushana, kashifiana na kusalitiana ili wasonge mbele (hili ni pendekezo la mmoja tu kati ya 7 niliowahoji).
Kwa mtazamo wangu, nikaelewa mgogoro huu umefikia pabaya na nikawa nimependekeza njia ya kuzifanya pande mbili zikae na kukigawa CDM, yaani iwepo CHADEMA ASILI na CHADEMA MABADILIKO. Wengi wa viongozi saba niliowachomekea hili waliona kitu hiki hakiwezekani kata kata. Upande wa Mbowe ndiyo ulikuwa na msisitizo zaidi kuwa CDM haiwezi gawanywa kwani kumtimua Zitto ni kazi rahisi kwao na hilo ndilo litamaliza mgogoro.
Kwa kumalizia, mtazamo wangu umekuwa tofauti na hoja hizi na ninawashauri (pande zote) kuwa waangalie uwezekano wa kukigawa CDM kuwa vyama viwili, wagawane rasilimali (kwa kuwa kila upande umechangia upatikanaji wa rasilimali zilizopo). Kwa sisi wanachama na mashabiki tutaona wenyewe ni upande upi twende kati ya CHADEMA ASILI (Ya Mbowe) na CHADEMA MABADILIKO (Ya Zitto).
Mwisho: Ikitokea inakuwa hivyo wewe MwanaCDM mwenzangu utaenda CDM ipi?
CCM Chama_Cha_Manyani
Epidomea ndio inayowasumbua kweli CCM hahahaha haha safi sana Mtikila ww ndio shujaa wa nchi ya Tanganyika, don't give up we love you