Matti
Member
- Jan 24, 2011
- 94
- 5
Mtihani wa maarifa ya dunia:
1.Kama hela haioti kwenye miti, kwanini bank zina matawi?
2.Kwanini gundi haigandi kwenye chupa yake?
3.Kama tunatakiwa
tusi-drive wakati tumekunywa, kwa nini bar kuna parking?
4.Kama neno
abbreviation linamaanisha ufupisho, kwa nini lenyewe ni refu hivyo?
5.Kama tunatakiwa
kufanya sex ndani ya ndoa tu, Kwanini tunabalehe kabla ya kufunga ndoa?
Nipe majibu.
1.Kama hela haioti kwenye miti, kwanini bank zina matawi?
2.Kwanini gundi haigandi kwenye chupa yake?
3.Kama tunatakiwa
tusi-drive wakati tumekunywa, kwa nini bar kuna parking?
4.Kama neno
abbreviation linamaanisha ufupisho, kwa nini lenyewe ni refu hivyo?
5.Kama tunatakiwa
kufanya sex ndani ya ndoa tu, Kwanini tunabalehe kabla ya kufunga ndoa?
Nipe majibu.