Mtihani

Mtihani

Matti

Member
Joined
Jan 24, 2011
Posts
94
Reaction score
5
Mtihani wa maarifa ya dunia:
1.Kama hela haioti kwenye miti, kwanini bank zina matawi?
2.Kwanini gundi haigandi kwenye chupa yake?
3.Kama tunatakiwa
tusi-drive wakati tumekunywa, kwa nini bar kuna parking?
4.Kama neno
abbreviation linamaanisha ufupisho, kwa nini lenyewe ni refu hivyo?
5.Kama tunatakiwa
kufanya sex ndani ya ndoa tu, Kwanini tunabalehe kabla ya kufunga ndoa?

Nipe majibu.
 
Mi mwenyewe na ishangaa hiyo namba tano.
Au tumepandikiziwa hiyo Imani na wazungu nini?
 
Ha ha ha ha ha nilikuwa sijaiona nimecheka kweli leo ha ha ha ha u made my day!!!!
 
hiyo namba tano lazima niingie mahabara ili niwe scientist wa kwanza mTZ maana huku kote washazindua, lazima nijue kwanini hii kitu
 
1. Hela ni karatasi... Na karatasi zinatokana na miti.. Miti ina matawi!..
2. Ikiwa ndani ya chupa haiwi gundi.. Inakua gundi ukishagundika sehemu!...
3. Parking sio kwa ajili ya walevi... Ni kwa ajili ya magari, Kwani yanakunywa!?...
4. Hata mi nashangaa!..
5. Unaweza ukaoa hata kabla...
 
5. Hata katika sanaa huwezi kuingia kabla ya kujigundua kuwa una kipaji au huna. Hivyo tunabelehe kabla ili kujitathmini kama tunaweza kutoa huduma au laa. Si mnajuwa kujigundua umelala doro ndani ya ndoa ni aibu???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom