Amina Thomas
JF-Expert Member
- Mar 9, 2008
- 272
- 130
Vichaa waliambiwa watengeneze Tv kwa Kutumia mabox, siku ya kuleta Tv vichaa wote wakaleta Mabox Yao, Kasoro Mmoja ye akaleta Karatasi, wakahisi amepona, Dokta akamuuliza We vipi Mbona Umeleta karatasi???
Kichaa: hamna dokta hii ni flat Screen.
Kichaa: hamna dokta hii ni flat Screen.