Mtihani wa vichaa

Mtihani wa vichaa

Amina Thomas

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2008
Posts
272
Reaction score
130
Vichaa waliambiwa watengeneze Tv kwa Kutumia mabox, siku ya kuleta Tv vichaa wote wakaleta Mabox Yao, Kasoro Mmoja ye akaleta Karatasi, wakahisi amepona, Dokta akamuuliza We vipi Mbona Umeleta karatasi???
Kichaa: hamna dokta hii ni flat Screen.
 
Mwalimu wa vichaa kawambia wachore picha ya ndege,wakachora wote ila m1 hakuchora kitu.Doctor akadhani labda kapona.Alivomuliza,Jamaa likamjibu,ALIKUWEPO ILA ULIVO ONGEA UMEMSTUA AKAKIMBIA.
 
Dokta alichora mlango ukutani halafu akawaruhusu vichaa watoke, wote wakakimbia kuelekea huo mlango isipokuwa kichaa mmoja. Dokta akadhani jamaa kapona akamuuliza, wenzako wanagombea kutoka we hutaki kwenda? Kichaa akajibu ufunguo ninao mimi.
 
Dokta alichora mlango ukutani halafu akawaruhusu vichaa watoke, wote wakakimbia kuelekea huo mlango isipokuwa kichaa mmoja. Dokta akadhani jamaa kapona akamuuliza, wenzako wanagombea kutoka we hutaki kwenda? Kichaa akajibu ufunguo ninao mimi.



Kama kweli alikuwa na akili ya kukaa na ufunguo basi huyu alishapona.
 
Kichaa mmoja alifungua hii nyuzi akasoma comments zote lakini hakucomment jamaa akamuuliza mbona wewe hukomenti, akajibu, lengo la hili jukwaa ni kucheka tu na wala si kukomenti
 
Funguo ya mlango wa kuchora?



Hapana. Kichaa ni mtu mwenye matatizo ya akili na kawaida hajuwi alifanyalo. Sasa kwa kuwa huyu jamaa alishajuwa kuwa ufunguo ndiyo unaofungua mlango na akasisitiza kuwa anao yeye basi alikuwa kishapona.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom