Isaack Newton
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 535
- 224
habari wakuu!
mimi huwa najiuliza,kwa nini PC huwa wanafeli sana ukilinganisha na SC ambao huwa hawafeli kiasi hicho? au mitihani ya PC huwa inatungwa migumu sana? naomba kujuzwa kwa wale ambao washa wahi kufanya mtihani kama PC!
mimi huwa najiuliza,kwa nini PC huwa wanafeli sana ukilinganisha na SC ambao huwa hawafeli kiasi hicho? au mitihani ya PC huwa inatungwa migumu sana? naomba kujuzwa kwa wale ambao washa wahi kufanya mtihani kama PC!