Mtihani wa IELTS ni kiboko, niko njia panda

Ivindo

Senior Member
Feb 11, 2016
168
239
Wakuu salama?
Leo niko na majonzi sana kwani nimepokea matokeo yangu ya test ya INTERNATIONAL LANGUAGE TEATING SYSTEM (ielts) na kupata overall 6.5. Lengo langu ni 7 kwa kila module, je nifanyeje?

Nataka kurudia tena mtihani mwenzi wa6 au wa7 na gharama yake imepanda toka 555,000= ya awali na sasa ni 590,000/=

Kwa kweli nimechanganyikiwa kabisa, hii ni mara yangu ya kwanza kufanya GENERAL PAPER la ielts.

Naomba uzoefu wenyu wakuu nifanyeje nitoboe?
IMG_5215.JPG
 
Mmh mmh yani Jf ina wanachama zaid ya laki5.. na hakuna wanaofanya huu mtihani? Kweli hii nchi kuna mtu kairoga

Mimi nilifanya ila ni miaka kama 3 iliyopita nikapata pia Overall Band ya 6.5. Japo lengo ilikuwa kama lako nipate 7.0, hivyo nikaachana nayo kwanza. Huenda mwakani nikajaribu tena. Ishu kubwa ni maandalizi hasa kwenye eneo la Speaking, maana watanzania wengi hatupo fluent kwenye hiyo Lugha, hivyo ukikaa na wenyewe ukaanza kuongea kuna Vocabulary kadhaa unakuwa huzitumii na mwisho wa siku utaambulia Low Band eneo hilo. Listening, Writing na Reading ukijiandaa mapema vema unaweza toboa hiyo 7.
Take your time na urudie tena.
 
We nisaidie kujua jinsi ya kufauru mkuu, nina ndoto za kuzamia Australia sasa wanataka usipate chini ya 7 kwa part zote4
ndg mie pia napashwa kufanya mtihani huo ila najiandaa. nasoma stuffs tofauti tofauti, kuna kitabu cha English grammar in use by Brigit Viney and Miles Craven 2004.nadhani ukijibu maswali yake baada ya kukisoma utatoboa
 
Mimi nilifanya ila ni miaka kama 3 iliyopita nikapata pia Overall Band ya 6.5. Japo lengo ilikuwa kama lako nipate 7.0, hivyo nikaachana nayo kwanza. Huenda mwakani nikajaribu tena. Ishu kubwa ni maandalizi hasa kwenye eneo la Speaking, maana watanzania wengi hatupo fluent kwenye hiyo Lugha, hivyo ukikaa na wenyewe ukaanza kuongea kuna Vocabulary kadhaa unakuwa huzitumii na mwisho wa siku utaambulia Low Band eneo hilo. Listening, Writing na Reading ukijiandaa mapema vema unaweza toboa hiyo 7.
Take your time na urudie tena.
muda wa maandalizi unapashwa kuwa mrefu afu jitahidi kusoma atleast kila siku weka ratiba before you bed do something
 
Back
Top Bottom