Hoja iliyozungumza ni kukosekana utendaji wa haki na uaminifu ambayo muhusika aliaminiwa. hilo ufumbuzi wake sio kuondoa somo la dini, ufumbuzi wake ni kuwajibishwa na kuweka kiongozi muadilifu. Hii ni wakeup call kwa wahusika wajue kile kilichokua kikidaiwa muda mrefu kilikua ni madai ya msingi. Kama lilichofanyika ni kweli cha kuwafelisha wanafunzi kwa sababu ya dini zao kwa muda wa kipindi cha miaka isiyopungua kumi kwakweli hichi sio kitu cha kupuuza hasa ukizingatia kua hakuna njia ya kukilipa kwa thamani yoyote.
nipen muda wadau nitawapa data kamili juu ya UTENDAJI WA NECTA NA WATENDAJI WAKE,,,,NA KWANINI BARAZA LINASHUTUMIWA KWENYE SUALA LA UDINI NA UPENDELEO