kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,244
Nilipokuwa nachungulia kwa nje kupitia dirishani mke wangu akiwa anaosha vyombo kwa njee. Alipita kijana moja, ile mke wangu kumuona tu, akawa kama kabanwa na mkojo. Mara glass iliyomkononi mwake chini. Hawakuongea kitu chochote, kijana yeye alikuwa na hamsini zake.
Wadau, nashidwa nianzie wapi au nipige kimya tu kama sijaona kitu.
Wadau, nashidwa nianzie wapi au nipige kimya tu kama sijaona kitu.