Mtihani mgumu..

Mtihani mgumu..

Kama ana hadhi yakufanyiwa hayo yote kwanini kaachwa? Kweli kupenda kubaya aisee!!! Piga chini huyo mbona wapo wengi sana watakaoendana nawe? Anyway wengi wamekushauri bt uamuzi ni wako kijana.... kila la kheri
 
Nmeamua nijitoe tu ila nahtaj hekima kumueleza aelewe na asibaki na kinyongo na mimi

Yeye alitumia hekima kukubania ilihali umeghramia hiyo sehemu alafu kazingua hata hakuguswa na hisia zako. Hekimaaaa uko wapi hekimaaa,,,
 
Duuh, kumbe jamii yetu ni ya watu wanafiki kiasi hiki. Eti mdada mwenye mtoto! Tatizo lipo wapi? Kila siku tunaona nyumba za ibada zinajaa, watu wameenda kuwatembelea watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu, kumbe unafiki. Kama umempenda oa, huyo mtoto ni binadamu anastahili kuthaminiwa na sio kunyanyaswa.

Mi kama nimemuelewa flesh mtoa mada ni kuwa issue sio mtoto,, issue ni hayo masharti yoote hapo,,, jamani hata kugegeda kitu kilichotumika hadi kikazaa matunda hataki!!! Hapana
 
Silikiza moyo wako, unawezaoa ambae hajawahi kuzaa kumi katoa mimba kumi. Labda hapo kwenye masharti lakini kuhusu motto mie sioni tatizo. Kuna wanaume wengi sana wana watoto kabla ya ndoa haimanishi kuwa mwanamke akiwa na mtoto asiolewe. Ila na yeye angepunguza masharti kidogo.

Issue kubwa hapo ni hayo masharti mengine e.g hakuna kupiga game hadi waoane, najiuliza labda hata huyo mtoto alimpata baada ya kuolewa na jamaa baadae ndo wakaachana,,, to me kuwa na mtoto sio issue,, issue ni hayo masharti
 
Nashukuru, bahati mbaya matusi sijafundishwa. Lengo hasa la mtu kuoa ni nini? Je, mtu aliyezaa hastahiri kuolewa? Ukioa asie zaa unapata nini ambacho aliyefanya kinyume na wewe anakosa? Nijibu maswali yangu. "NOTHING IS GOOD OR BAD BUT YOUR THINKING MAKE IT SO."
Hivi umeelewa mada.
please usinichoshe na miswali yako pia kama vipi muoe wewe
 
Nadhani mkuu palipokuchanganya zaidi ni hapo kwenye kupima afya......hapo ndio panapotakiwa kuonyesha uanaume....ukishafaulu hapo..utakuwa umeshatengua masharti mengine yote............KUPIMA SIO KAZI, KAZI IPO KUCHUKUA MAJIBU.........
 
Mkuu kwani hakuna demu wa kuoa ambaye bado hajazaa? Huyo atakuendesha kwani amekuzidi sana!
 
Issue kubwa hapo ni hayo masharti mengine e.g hakuna kupiga game hadi waoane, najiuliza labda hata huyo mtoto alimpata baada ya kuolewa na jamaa baadae ndo wakaachana,,, to me kuwa na mtoto sio issue,, issue ni hayo masharti

Jamaa angetulia wapime kwanza then aone kama hatapewa tundi. Me naona bidada yupo sawa maana huwezi kujirahisi kwa mtu bila hata kuweka mkwara kwanza kisa umezaa. Watoto wanatafutwa na anaemdharau mwanamke mwenye mtoto nina mashaka na uelewa wake. Kila siku watu wanalalamika kuhusu kutupa watoto afu wengine wanapondea wenye watoto.
 
hamna kitu kigumu kama kunyimwa gemu,,mi akinyima siangalii kitu,nafanya mambo yangu tu
 
Umri wako bado mdogo xana bro kwa habar ya ndoa.....Pia yaonesha bado ww ni mgeni na habari hizo.....Ukiendelea kufakamia ivo utanunua shida ya milele. Mdada mzuri hapatikani mbali huko...kiasi hamuonani mwaka mzima. Wa aproach wadada wanaopatikana kwenye maeneo unayoish au kufany kazi.

KWA FAIDA YAKO...UYO PIGA CHINI....MWACHE AENDELEE KULEA. OKOA MUDA WAKO MEN!!!
 
Habari wana jf!
Mimi ni kijana (24yr), nmekuwa na mahusiano na binti mmoja yapata mwaka sasa sijawahi kula tunda pengne sababu ya umbali maana anaishi kwao moro, mimi nipo dsm sasa amekuja maramoja dsm kwa sis wake na jana tukapanga kuonana nkampeleka lodge nkajua nitakula tunda..badala yake akataka kujidhihirishia kama nampenda na nina malengo gani kwake..nikapewa mashart yafuatayo:-
1.Tukapime afya zetu kwanza.
2. Nikatambulike kwao.
3. Niwe tayar kulea mtoto wake maana tayar ana mtoto wa kke alizaa na kjana ambaye hawako pamoja sasa.
4. Hamna kula tunda mpaka nimuoe.
Nimekubaliana na mashart hayo ila shart la nne limenitia mashaka kwa nini anizuie na ilihali yeye ameshazaa na syo bikra.? Na kwel nitaweza kuvumilia kpnd chote maana kwangu kuwa tayar kuoa ni mpaka niweke mazngra sawa maana ndo kwanza nmeanza kaz..? Sasa sjui inakuwaje hapo maana nampenda..Hamuwez amin jana nimeambulia patupu..hapo anaashiria nini wakuu?

24 yrs...!!! you are too young to marry an already mother!!!...anyway kipenda roho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom