Nmeamua nijitoe tu ila nahtaj hekima kumueleza aelewe na asibaki na kinyongo na mimi
Duuh, kumbe jamii yetu ni ya watu wanafiki kiasi hiki. Eti mdada mwenye mtoto! Tatizo lipo wapi? Kila siku tunaona nyumba za ibada zinajaa, watu wameenda kuwatembelea watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu, kumbe unafiki. Kama umempenda oa, huyo mtoto ni binadamu anastahili kuthaminiwa na sio kunyanyaswa.
Silikiza moyo wako, unawezaoa ambae hajawahi kuzaa kumi katoa mimba kumi. Labda hapo kwenye masharti lakini kuhusu motto mie sioni tatizo. Kuna wanaume wengi sana wana watoto kabla ya ndoa haimanishi kuwa mwanamke akiwa na mtoto asiolewe. Ila na yeye angepunguza masharti kidogo.
Hivi umeelewa mada.Nashukuru, bahati mbaya matusi sijafundishwa. Lengo hasa la mtu kuoa ni nini? Je, mtu aliyezaa hastahiri kuolewa? Ukioa asie zaa unapata nini ambacho aliyefanya kinyume na wewe anakosa? Nijibu maswali yangu. "NOTHING IS GOOD OR BAD BUT YOUR THINKING MAKE IT SO."
Issue kubwa hapo ni hayo masharti mengine e.g hakuna kupiga game hadi waoane, najiuliza labda hata huyo mtoto alimpata baada ya kuolewa na jamaa baadae ndo wakaachana,,, to me kuwa na mtoto sio issue,, issue ni hayo masharti
hahahahah ulikuwepoLiongo! Zaidi ya kurembuliwa macho hata busu la shavuni hukupewa!
Habari wana jf!
Mimi ni kijana (24yr), nmekuwa na mahusiano na binti mmoja yapata mwaka sasa sijawahi kula tunda pengne sababu ya umbali maana anaishi kwao moro, mimi nipo dsm sasa amekuja maramoja dsm kwa sis wake na jana tukapanga kuonana nkampeleka lodge nkajua nitakula tunda..badala yake akataka kujidhihirishia kama nampenda na nina malengo gani kwake..nikapewa mashart yafuatayo:-
1.Tukapime afya zetu kwanza.
2. Nikatambulike kwao.
3. Niwe tayar kulea mtoto wake maana tayar ana mtoto wa kke alizaa na kjana ambaye hawako pamoja sasa.
4. Hamna kula tunda mpaka nimuoe.
Nimekubaliana na mashart hayo ila shart la nne limenitia mashaka kwa nini anizuie na ilihali yeye ameshazaa na syo bikra.? Na kwel nitaweza kuvumilia kpnd chote maana kwangu kuwa tayar kuoa ni mpaka niweke mazngra sawa maana ndo kwanza nmeanza kaz..? Sasa sjui inakuwaje hapo maana nampenda..Hamuwez amin jana nimeambulia patupu..hapo anaashiria nini wakuu?