-kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na demu for a year bila kumgonga, huo ni UBOYA! Hayo mapenzi ya kihindi yalikuwa karne iliyopita, not karne hii. (Dar to Moro sio mbali)
-Demu kumuingiza lodge/guest afu eti akunyime papuchi kwa sharti la kumuoa kwanza, nawe ukakubali kweli, huo ni UZOBA! WHY alikubali kuingia lodge? au siku hizi lodge/guest ni pa kwenda kupiga story? keshakuona zoba sana
-Demu kukupa romance kitandani afu anakataa kukumanulia papuchi, nawe unalegeza kweli. huo ni UBWEGE!
-Ukute huo mwaka mzima amekuchuna weeee vijisent vyako unajifanya kumhudumia, afu mwisho wa picha Starring umeuawa na watazamaji tumeona 'chenga' tu bila maandishi. huo ni UPIMBI.
Wenzako huko Moro wanajipakulia tu utamu bila jasho. Pole kijana, ila ndo unajifunza hivyo, everything needs experience. :becky:
Aged 24 bado ni mdogo, so why ubabaishwe na mwanamke ambae ni unmarketable? (kuzalishwa tu tayari ishampunguzia soko, ata kama ni mzuri). Yawezekana hujuwi kusoma 'alama za nyakati' sababu ya hilo jina lako.
My advice: Just listen to your heart then chukua uamuzi we mwenyewe.
-Kaveli-