Mtihani mgumu

Mtihani mgumu

Ben Zen Tarot

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2014
Posts
4,392
Reaction score
7,863
Kipi aanze kuchukua mkate au funguo?
FB_IMG_1592575975860.jpg
 
Huyo inaonyesha ni jinsi gani alivyo boya. maana funguo ipo karibu zaidi ya huo mkate na funguo hapo ndio kila kitu maana itamfanya awe huru na mkate wao anakula huku akisepa zake.
 
Wengi watamuona jamaa ni mjinga lakini mm namuona kama shujaa anayetaka kuokoa maisha yake, jamani njaa ni mbaya sana tena zaidi ya sana. Ukiwa na njaa hutoweza kuongea (kuongea ni jambo rahisi) lkn huyo huyo ukimwambia akapike chakula atapata nguvu za kwenda kupika (kupika ni jambo gumu kuzidi la kuongea)
 
Huyo inaonyesha ni jinsi gani alivyo boya. maana funguo ipo karibu zaidi ya huo mkate na funguo hapo ndio kila kitu maana itamfanya awe huru na mkate wao anakula huku akisepa zake.
Ana njaa ya kufa mtu alafu hako kamti kanaweza kuvunjika muda wowote!
 
Wengi watamuona jamaa ni mjinga lakini mm namuona kama shujaa anayetaka kuokoa maisha yake, jamani njaa ni mbaya sana tena zaidi ya sana. Ukiwa na njaa hutoweza kuongea (kuongea ni jambo rahisi) lkn huyo huyo ukimwambia akapike chakula atapata nguvu za kwenda kupika (kupika ni jambo gumu kuzidi la kuongea)
Njaa haina baunsa mkuu mtego mkali sana huo akichukua funguo imekula kwake!
 
Back
Top Bottom