Mtihani kapata zero. Je asomee fani gani?

ngakotecture

JF-Expert Member
Dec 30, 2014
2,445
2,561
Habari wakuu katika jukwaa la elimu,

Nina shida moja nina mdogo wangu wa kike amefanya mtihani wa kidato cha nne mwaka jana matokeo yametoka amepata zero sasa amekaa home lakini sasa ivi anajutia na anaomba asome sasa nishaurini kutokana na matokeo yake asome fani gani au arudie mtihani na kama kurudia masomo napitia mchakato upi ili kumuendeleza.
 
Kurudia masomo kwa njia ipi ya kurisiti au kurudi kidato cha pili kabisa ama kwa mtindo upi?

Na kabla hujachukua maamuzi ya kumrudisha shule muulize kwanza kilichomfelisha ni kitu gani? Ilikuwa hana akili? Hapati mda wa kusoma? Material harifu? Makundi yalimzidi? Au nini hasa kilichomfanya afeli?

Ukishajua hayo itakuwa rahisi kujua unawezaje kumrudisha shule na kwa njia ipi!?

Isije ikawa anataka kurudi shule kwa hamu tuu na kwa kuwa amekaa tuu nyumabani!

Fatilia hayo kwanza then tutajua tunaanzia wap!?
 
Kurudia masomo kwa njia ipi ya kurisiti au kurudi kidato cha pili kabisa ama kwa mtindo upi?

Na kabla hujachukua maamuzi ya kumrudisha shule muulize kwanza kilichomfelisha ni kitu gani? Ilikuwa hana akili? Hapati mda wa kusoma? Material harifu? Makundi yalimzidi? Au nini hasa kilichomfanya afeli?

Ukishajua hayo itakuwa rahisi kujua unawezaje kumrudisha shule na kwa njia ipi!?

Isije ikawa anataka kurudi shule kwa hamu tuu na kwa kuwa amekaa tuu nyumabani!

Fatilia hayo kwanza then tutajua tunaanzia wap!?
Sawa mkuu asante kwa ushauri
 
Kurudia masomo kwa njia ipi ya kurisiti au kurudi kidato cha pili kabisa ama kwa mtindo upi?

Na kabla hujachukua maamuzi ya kumrudisha shule muulize kwanza kilichomfelisha ni kitu gani? Ilikuwa hana akili? Hapati mda wa kusoma? Material harifu? Makundi yalimzidi? Au nini hasa kilichomfanya afeli?

Ukishajua hayo itakuwa rahisi kujua unawezaje kumrudisha shule na kwa njia ipi!?

Isije ikawa anataka kurudi shule kwa hamu tuu na kwa kuwa amekaa tuu nyumabani!

Fatilia hayo kwanza then tutajua tunaanzia wap!?
Hongera Sana best kwa Ushauri Mzuri
 
Bora wewe umekuwa mkweli
Pole ila kufeli sio mwisho wa maisha
Angalia nini anaweza msaidie aweze fanikisha ndoto zake
 
Chuo cha ufundi mkuu ndio mpango akitoka hapo ana fani hata asipoajiriwa Nazi hakosi kitaa...tena ka.a atasomea course za umeme na uashi mpango sana
 
ASIRUDIE MTIHANI

Mtafutie chuo akasome course yoyote certificate. Vyuo vilivyo chini ya NACTE

Kuna course nyingi mfano maendeleo ya jamii, biashara, na zinginezo.

Akimaliza certificate aende diploma then degree.
 
ASIRUDIE MTIHANI

Mtafutie chuo akasome course yoyote certificate. Vyuo vilivyo chini ya NACTE

Kuna course nyingi mfano maendeleo ya jamii, biashara, na zinginezo.

Akimaliza certificate aende diploma then degree.
NACTE wanatoa ithibati kwa vyuon vinavyochukua watu wenye zero?
 
muwashe amazoni college mkuu wanampokea na atasoma vizuri,kurisiti kwa sasa kachelewa muda umeenda sana labda mwakani,ama mpeleke hata veta awe na ujuzi wake pia ili akipata pa kujishikiza basi atakumbuka mwenyewe kusoma kwa kurisit ila sasa usipoteze hela bure atafeli tena maana sa hivi anajuta ukimrudisha baada ya miez kadhaa kasahau na hatimae atampa uchi mwl wake tu believe me maana experience nnayo
 
mwambie a-risiti aachane na maneno ya vijiweni yakukatisha tamaa. kuna mdogo wangu ali-risit form 4 kafaulu vizur hivi sasa yupo muhimbili mwaka wa kwanza MD.
kurisiti mwambie awe na moyo na ajitume sanaaaa
 
David Harvey muhimbili hii hii au unasemea nyingine?? Muhimbili kwa PC! Mkuu acha kutudharirisha! Ok anaitwa nan 2muangalie hapa kwenye database? Maan MD Jumla Wapo 412 Mwaka 1 mpak wa 5! Tena unasema MD! Mkuu hapa sio mipango punguza uongo.
 
Habari wakuu katika jukwaa la elimu,

Nina shida moja nina mdogo wangu wa kike amefanya mtihani wa kidato cha nne mwaka jana matokeo yametoka amepata zero sasa amekaa home lakini sasa ivi anajutia na anaomba asome sasa nishaurini kutokana na matokeo yake asome fani gani au arudie mtihani na kama kurudia masomo napitia mchakato upi ili kumuendeleza.


Kuna hizi shule wanasoma o'level kwa miaka 2 aende akaanze huko form one maaana nilazima asome hakuna alternative mkuu
 
ASIRUDIE MTIHANI

Mtafutie chuo akasome course yoyote certificate. Vyuo vilivyo chini ya NACTE

Kuna course nyingi mfano maendeleo ya jamii, biashara, na zinginezo.

Akimaliza certificate aende diploma then degree.



Haezi kukubaliwa chuo yoyote kama ana division zero
 
Back
Top Bottom