GE2025 Mtia nia wa udiwani CCM akiomba kura akiwa amepiga magoti kwa unyeyekevu mkubwa

GE2025 Mtia nia wa udiwani CCM akiomba kura akiwa amepiga magoti kwa unyeyekevu mkubwa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,777
Mtiania wa Udiwani kata ya Zingiziwa, Wilaya ya Ilala, Mkoa wa Dar es Salaam, Maganga Maige akiwaomba kura wajumbe wa mkutano mkuu Kata ya Zingiziwa. Watia nia wa ubunge na udiwani leo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanapita katika kata mbalimbali kuomba kura.


 
Mtiania wa Udiwani kata ya Zingiziwa, Wilaya ya Ilala, Mkoa wa Dar es Salaam, Maganga Maige akiwaomba kura wajumbe wa mkutano mkuu Kata ya Zingiziwa. Watia nia wa ubunge na udiwani leo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanapita katika kata mbalimbali kuomba kura.


View attachment 3425893
Wanyenyekev kweli, baada ya kupata wnachokitaka atahamia dar na hato onekana tena
 
Screenshot_2023-01-12-11-03-14-749_com_1697943223752.facebook.lite.jpg
 
Back
Top Bottom