Wameanza kwadanganya mapema wapiga kura,huko mbeleni itakuwaje,tuwachuje watia nia walongo walongo jamaniHahahahaa mwanzo wa uongo huu, hakuna kazi hapo 😂😂😂
Inawezekana mbona very easy and simpleHahahahaa mwanzo wa uongo huu, hakuna kazi hapo 😂😂😂
Mikopo ambayo haina riba inawezekana kuna mbunge anaitwa Kagasheki alikuwa anatoa mikopo Kama hiyo kule Bukoba ni issue inayowezekanaWameanza kwadanganya mapema wapiga kura,huko mbeleni itakuwaje,tuwachuje watia nia walongo walongo jamani
Utacover vipi cost za kutoa mikopo + mishahara ya wafanyakazi, + utacover vipi inflation? Hii issue haina matokeo in long runMikopo ambayo haina riba inawezekana kuna mbunge anaitwa Kagasheki alikuwa anatoa mikopo Kama hiyo kule Bukoba ni issue inayowezekana
Mkuu hela si wananchi wenyewe ni swala la kuzizungusha .Utacover vipi cost za kutoa mikopo + mishahara ya wafanyakazi, + utacover vipi inflation? Hii issue haina matokeo in long run
Kwa hio mtakuwa mchota hela sehemu nyingine mnaweka tu kwenye hio mikopo? Hio taasisi ya mikopo itabidi uajiri watu wa kuishughulikia, utawalipaje?Mkuu hela si wananchi wenyewe ni swala la kuzizungusha .
Kwakuwa pale Halmshahuri Kama ukibana vizuri bila kuruhusu mianya ya wizi kuna hela nyingi Sana Ila inaibiwa na wanasiasa na watumishi
Kwahiyo mkiwa na mikakati mnaweza kuwapa watu mikopo bila hiyo riba
Mikopo ina bima lakiniKwa hio mtakuwa mchota hela sehemu nyingine mnaweka tu kwenye hio mikopo? Hio taasisi ya mikopo itabidi uajiri watu wa kuishughulikia, utawalipaje?
Mwaka wa kwanza utakuwa na hela, mwaka wa 5 zitafika ? Jua kuna watu watachukua 59M kisha watakufa na hela walikuwa wanalimia, huna cha kuwafanya, je utacover vipi ?
Mbona wanamcheka?Wakuu
Mtia nia wa ubunge kupitia CCM Hussein Gonge akiomba kura kwa wajumbe ameahidi kuifuta mikopo ya kausha damu huku akieleza kuwa anfahamu mahali atakapotoa fedha zisizokuwa na riba.
View attachment 3427089