chinekeeee
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 1,787
- 2,886
vipi kijana yupo sahhihi?Jana na leo
vipi kijana yupo sahhihi?Jana na leo
Na mimi hapa ni mwanafunzivipi kijana yupo sahhihi?
Na wewe umesadikiTuna lima mbaazi ila sikuwahi kufikiria kuwa huu mmea unamaajabu yake ktk dunia nyingine
Hahaahaha sio kwa matumizi hayoNdo uanze kuutumia sasa
Umenenaulete na faida ya mti wa BANGI
Hapa mshana hatii mguu. Ilm kubwa hii.
Hakuna bingwa wa kila kitu duniani na hapa hatushindaniHapa mshana hatii mguu. Ilm kubwa hii.
Kam kweli hat me natak hiyo dawaumesema nikitumia naweza nisionekane popote, vipi naweza kuingia benki na kuchukua hela bila kuonekana???
Kweli kabisaDunia hii tutakufa bila ya kuimaliza ina mengi