Mti mrefu Afrika wagunduliwa katika mlima Kilimanjaro nchini Tanzania

Kwa tathmini tu hata tukibadilishana nchi na marekani sie tupewe nchi yao wao waje bongo kujipanga after 10-20 years tutaanza tena kutegemea misaada kutoka Tanzania.

Shithole country as charged!
 
Kilimanjaro kwa vitu virefu hamjambo
 
wataongea nn akat mpk walipofka waliunga unga tu
Wanasanyansi wa Tanzania hamna kitu kwanza hawajui English ya kuongea! na hawajawahi Gundua chochote kile. haswa hawa wa Awamu hii wanapewa vyeo alafu wanaboronga ''kweli kweli'' karibu wote hawajui hata nzi ana miguu mingapi! ukiachia Jongoo...

@military_Genius
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…