Mtera: Lameck John Lubote aanika unafiki wa CHADEMA

Mtera: Lameck John Lubote aanika unafiki wa CHADEMA

tethering

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
331
Reaction score
139
Huyu jamaa na mwenzake amesema mwenyewe kuwa wameamua kukipa talaka chama cha chadema jana na kukisusa kwan kinaendeshwa kama kampuni binafsi kwan wamekuwa hawashirikishwi katika maamzi,wanashangaa chadema kususa bunge la katiba wakati hiyo ilikuwa ni ajenda yao 2010 kwenye ilani.
source: tbc television

attachment.php

attachment.php

attachment.php

attachment.php

attachment.php

Hivi ndivyo ambavyo Aliyekuwa Katibu wa CHADEMA Jimbo la MTERA , Lameck John Luboke alivyokianika chama chake cha CHADEMA
 
Kumbe source ni tbccm aka tbcmagamba...nilidhani labda ni itv au chanel 10 kumbe ni hao hao magambaz
 
Kumbe source ni tbccm aka tbcmagamba...nilidhani labda ni itv au chanel 10 kumbe ni hao hao magambaz

Ishu ni kwamba wameonekana wakizungumza wenyewe ktk television kwa hisia kali asubui hii na sio kukashifu tbc walio tuonyesha wakizungumza
 
Kama si ungese ni nini? Wakati chaguzi zinafanyika tayari cdm ilikuwa imeshajitoa kwenye hilo bunge la interahamwe ,sasa yeye alichukua fomu ili iweje? Au ni wale waliotemwa wakati wa chaguzi lakini bado wanajiita viongozi ili kuendeleza ulaghai wa magamba?
 
Kama si ungese ni nini? Wakati chaguzi zinafanyika tayari cdm ilikuwa imeshajitoa kwenye hilo bunge la interahamwe ,sasa yeye alichukua fomu ili iweje? Au ni wale waliotemwa wakati wa chaguzi lakini bado wanajiita viongozi ili kuendeleza ulaghai wa magamba?

Hata mm nashangaa
 
walishatemwa hao bunge lilisusiwa kabla ya uchaguzi hii ndiyo shida ya hii TV hawaulizi upande wa pili

sinaga muda wa kuangalia labda kipindi cha chereko chereko

Tangu aondoke Tido dira imepotea
 
sasa ameelewa kuwa hiyo ni tasisi ya chagga dalvoment manfesto a k a chadema
 
Huyo ni sawa na tone la maji baharini, kwani alipojiunga na chadema alituambia?

Chadema ni kama tren, kuna watakaoshukia njiani kutokana na nauli yao kuwa nusu, au awali walidhani tren inasimama-simama kama basi.

VIVA CHADEMA moto ni huo huo, huyu kesho media zitamsahau, wapo wapi akina mtela Mwampamba, Juliana Shonza, hawa ilibidi waombewe special request kwa RAIS ati watangaze nia hiyo mbele ya RAIS, Leo wapo wapi?
 
Huyu jamaa na mwenzake amesema mwenyewe kuwa wameamua kukipa talaka chama cha chadema jana na kukisusa kwan kinaendeshwa kama kampuni binafsi kwan wamekuwa hawashirikishwi katika maamzi,wanashangaa chadema kususa bunge la katiba wakati hiyo ilikuwa ni ajenda yao 2010 kwenye ilani.
source: tbc television

Huyo anaitwa Bwana Lameck Lubote namfahamu sana kwenye siasa zetu za Dodoma, hakuwa katibu wa Chadema jimbo la Mtera kama ambavyo ametambulishwa, Muda wake wa kukaa madarakani uliisha na kwa kuwa alikuwa amepaga kuhujumu chama na intelijensia ya Chama ilishajua ulimuweka benchi kujihususha na shughuli za chama toka muda mrefu na Uchaguzi wa Jimbo la Mtera ulisimamishwa, alihusika kuhujumu uchaguzi wa Kata ya Mpwayungu huwa anahongwa hela za bia la Lucinde, si mtu makini anaongozwa na njaa zake. Ni Kazi ya CCM kujiokoteza makapi chini ya meza ya Chadema.
 
jibuni hoja zilizotolewa kwenye waraka msikwepe hoja kwa kushambulia watu binafsi? mbona cdm mnajifanya watakatifu sana kumbe ni wanafiki wakubwa? dawa yenu inachemka na mtaona mavuno yenu katika uchaguzi wa des 2014 na okt 2015



walishatemwa hao bunge lilisusiwa kabla ya uchaguzi hii ndiyo shida ya hii TV hawaulizi upande wa pili

sinaga muda wa kuangalia labda kipindi cha chereko chereko

Tangu aondoke Tido dira imepotea
 
Huyo lameck ni tatizo , angeendelea kuachwa chadema ingepotea. Wananchi wa mtera wanamdharau sana. Hakuwa na ushawishi zaidi ya kuonekana tapeli.
 
Huyo anaitwa Bwana Lameck Lubote namfahamu sana kwenye siasa zetu za Dodoma, hakuwa katibu wa Chadema jimbo la Mtera kama ambavyo ametambulishwa, Muda wake wa kukaa madarakani uliisha na kwa kuwa alikuwa amepaga kuhujumu chama na intelijensia ya Chama ilishajua ulimuweka benchi kujihususha na shughuli za chama toka muda mrefu na Uchaguzi wa Jimbo la Mtera ulisimamishwa, alihusika kuhujumu uchaguzi wa Kata ya Mpwayungu huwa anahongwa hela za bia la Lucinde, si mtu makini anaongozwa na njaa zake. Ni Kazi ya CCM kujiokoteza makapi chini ya meza ya Chadema.

Namfahamu sana huyu muhuni, hana maana na katumbo kake sio mtu makini hata siku moja. Ina maana gani kwa chombo kama TBC na mawakala wao ccm kudanganya mtu kuwa ana wadhifa fulani ilhali ni uongo?
 
Huyo lameck ni tatizo , angeendelea kuachwa chadema ingepotea. Wananchi wa mtera wanamdharau sana. Hakuwa na ushawishi zaidi ya kuonekana tapeli.

Huwa ni mlevi hana kazi maalum, any way kwanza ukimtazama hata kiafya ni mdumavu, njaa ipo kichwani, atamake headlines kwenye uhuru na jambo leo siku moja baada ya hapo amejifungia fursa
 
rombo chadema imekomba wenyeviti wa vijiji kibao na ccm wamesambaratika wanahaha kutafuta wagombea wamekosa

Ha ha ha kuna mwanafunzi wangu mmoja hapa chuoni anatoka Rombo kaniambia hizi habari furaha niliyokuwa nayo nikahairisha test nikondoka nae kupata soda
 
Teh teh..... Maigizo had lini Lumumba production
 
Back
Top Bottom