JOYCE PAUL
JF-Expert Member
- Jan 8, 2010
- 1,005
- 82
jamani me huyu mtengeneza nyimbo wa fish crab studio (producer) me naona kazidi kila nyimbo anayotengeneza lazima atokee kwenye video yake.sasa nini anajitangaza kwa njia hiyo au ndo ulimbukeni?me naona afuate nyayo za maproducer waliopo aliowakuta kwenye game.