Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania alazimisha watumishi kuchangia maafa ya Katesh kuanzia 20,000-50,000

pamiho

JF-Expert Member
Jun 21, 2010
271
35
Habari za asubuhi?

Baada ya serikali kuyaomba michango mashirika yake ya Umma, yeye ameamua kuwalazimisha watumishi kuchangia (kwa kukatwa) posho zao kuanzia 20,000 na kuendelea ili aweze kupeleka kwa wahanga wa mafuriko.

Hali hii imezua maswali mengi sana miongoni mwa watumishshi hasa ukizingatia hali ya fedha ni tete sana hasa kwa vijana tunaofanya kazi ya muda ambao tunategemea posho tu kujikimu.

Wemgine tuna changamoto mbalimbali za kifamilia kama kuuguliwa na wazazi ambazo zinahitaji fedha, hili analolifanya kiongozi huyu binafsi limeniacha na majozi makubwa sana.

Kama hayo ni maelekezo ya serikali kutubebesha mzigo sisi watumishi basi tunaomba jambo hili liwekwe wazi ili tujue tunatakiwa kuililia serikali na siyo Mtendaji Mkuu.

Kuchangia maafa ni jambo jema sana, lakini inafaa kila mtu aridhie mwenyewe kufanya hivyo na siyo vinginevyo.
 
Habari za asubuhi?

Baada ya serikali kuyaomba michango mashirika yake ya Umma, yeye ameamua kuwalazimisha watumishi kuchangia (kwa kukatwa) posho zao kuanzia 20,000 na kuendelea ili aweze kupeleka kwa wahanga wa mafuriko.

Hali hii imezua maswali mengi sana miongoni mwa watumishshi hasa ukizingatia hali ya fedha ni tete sana hasa kwa vijana tunaofanya kazi ya muda ambao tunategemea posho tu kujikimu.

Wemgine tuna changamoto mbalimbali za kifamilia kama kuuguliwa na wazazi ambazo zinahitaji fedha, hili analolifanya kiongozi huyu binafsi limeniacha na majozi makubwa sana.

Kama hayo ni maelekezo ya serikali kutubebesha mzigo sisi watumishi basi tunaomba jambo hili liwekwe wazi ili tujue tunatakiwa kuililia serikali na siyo Mtendaji Mkuu.

Kuchangia maafa ni jambo jema sana, lakini inafaa kila mtu aridhie mwenyewe kufanya hivyo na siyo vinginevyo.
Mkuuu kuna maandiko kutaweka hapa ni kujidhalilisha na kuonyesha uwezo wako wa kufikiri ilivyo finyu. Kwa hili namuunga mkono Mkuu wa Chuo. Hao watumishi wanalipwa pesa/kodi ya Watanzania. Na sasa hao Walalahoi wamekumbwa na maaafa. Yaani kukatwa elfu 20 imekuwa nongwa?? Huyu mkuu wa Chuo apewe maua yake.
Mleta mada una roho mbaya na una Umaskini kichwani mwako na ni mfitishaji pia badilika mkuu. Usilazimishe mkuu wa Chuo afikirie kama wewe
 
Mkuuu kuna maandiko kutaweka hapa ni kujidhalilisha na kuonyesha uwezo wako wa kufikiri ilivyo finyu. Kwa hili namuunga mkono Mkuu wa Chuo. Hao watumishi wanalipwa pesa/kodi ya Watanzania. Na sasa hao Walalahoi wamekumbwa na maaafa. Yaani kukatwa elfu 20 imekuwa nongwa?? Huyu mkuu wa Chuo apewe maua yake.
Mleta mada una roho mbaya na una Umaskini kichwani mwako na ni mfitishaji pia badilika mkuu. Usilazimishe mkuu wa Chuo afikirie kama wewe
Akilizako ziko sawa kweli. Wanalipwa bure? Unajua kuna fungu la maafa linatengwa kwenye bajeti ta serikali kila mwaka? Unajua kuwa viongozi wanaishi na kusafiri maisha ya kifahari? Mashangingi 10 tu yakiuzwa yanatosha kuwa mchango kwa hao wenye maafa.
 
Akilizako ziko sawa kweli. Wanalipwa bure? Unajua kuna fungu la maafa linatengwa kwenye bajeti ta serikali kila mwaka? Unajua kuwa viongozi wanaishi na kusafiri maisha ya kifahari? Mashangingi 10 tu yakiuzwa yanatosha kuwa mchango kwa hao wenye maafa.
Upo sawa Mkuu lakini hayo mashangingi wakiamua kuyauza bei yake si unajua hayazidi 25m maana wanaonunua ni hao hao walioagiza kwa 450m...
 
Mkuuu kuna maandiko kutaweka hapa ni kujidhalilisha na kuonyesha uwezo wako wa kufikiri ilivyo finyu. Kwa hili namuunga mkono Mkuu wa Chuo. Hao watumishi wanalipwa pesa/kodi ya Watanzania. Na sasa hao Walalahoi wamekumbwa na maaafa. Yaani kukatwa elfu 20 imekuwa nongwa?? Huyu mkuu wa Chuo apewe maua yake.
Mleta mada una roho mbaya na una Umaskini kichwani mwako na ni mfitishaji pia badilika mkuu. Usilazimishe mkuu wa Chuo afikirie kama wewe
Mkuu tunatofutiana kipato, kwako wewe hicho kiwango ni kidogo sana lakini kwangu mimi ni kikubwa sana. Maelekezo ya Serikali ni kwamba taasisi zichangie kiasi kisichopungua milioni 10, ukisema kiasi ambacho taasisi inatakiwa itoe kigawanywe kwa watumishi wote siyo sawa. Pia suala la kuchangia fedha lisiwe la kulazimishana, mtu atoe kadri anavyoweza.

Napata mashaka kidogo juu ya weledi wako maana kauli uliyoitumia hapo ni kama UTEULE wako unakandamiza watu walio chini yako.
 
Habari za asubuhi?

Baada ya serikali kuyaomba michango mashirika yake ya Umma, yeye ameamua kuwalazimisha watumishi kuchangia (kwa kukatwa) posho zao kuanzia 20,000 na kuendelea ili aweze kupeleka kwa wahanga wa mafuriko.

Hali hii imezua maswali mengi sana miongoni mwa watumishshi hasa ukizingatia hali ya fedha ni tete sana hasa kwa vijana tunaofanya kazi ya muda ambao tunategemea posho tu kujikimu.

Wemgine tuna changamoto mbalimbali za kifamilia kama kuuguliwa na wazazi ambazo zinahitaji fedha, hili analolifanya kiongozi huyu binafsi limeniacha na majozi makubwa sana.

Kama hayo ni maelekezo ya serikali kutubebesha mzigo sisi watumishi basi tunaomba jambo hili liwekwe wazi ili tujue tunatakiwa kuililia serikali na siyo Mtendaji Mkuu.

Kuchangia maafa ni jambo jema sana, lakini inafaa kila mtu aridhie mwenyewe kufanya hivyo na siyo vinginevyo.
Samahani mkuu nje ya mada!
Vyuoni kuna posho yeyote kwa watumishi wahadhiri?
 
Back
Top Bottom