chuo cha utumishi wa umma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. pamiho

    Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania alazimisha watumishi kuchangia maafa ya Katesh kuanzia 20,000-50,000

    Habari za asubuhi? Baada ya serikali kuyaomba michango mashirika yake ya Umma, yeye ameamua kuwalazimisha watumishi kuchangia (kwa kukatwa) posho zao kuanzia 20,000 na kuendelea ili aweze kupeleka kwa wahanga wa mafuriko. Hali hii imezua maswali mengi sana miongoni mwa watumishshi hasa...
  2. Kikotii

    Waziri Mhagama Pongezi kwa Chuo cha Utumishi wa Umma

    Mheshimiwa Waziri Jenista Mhagama (MB), kwanza nikupongeze kwa jitihada zako za kuujenga na kuuendeleza utumishi wa umma Tanzania. Natambua wewe ni kiongozi bora na si bora kiongozi na ndio maana Rais wetu ameendelea kukuamini katika kuendelea kusimamia Utumishi wa umma. Nikiwa kama mdau wa...
Back
Top Bottom