Mtemvu na biashara ya Utumwa Dubai

Mtemvu na biashara ya Utumwa Dubai

Kupeleka watu nje kufanya kazi ilikuwa nia njema kabisa kwasababu Tanzania hakuna ajira tena, na hata hizo ajira ambazo zingefanywa na watanzania wenyewe kama upishi, ulinzi n.k; sasa zinafanywa na wageni.
Hata hivyo, hili la watu kwenda kufanya kazi katika mazingira ya utumwa, ni kashfa kubwa kwa wahusika akiwemo Mhe. Mtemvu mwenyewe.
Hii ndio hasara ya kuwakwepa washauri wa maana na kukimbilia kuwa na wasaidizi wanaofanya kazi kwa misingi ya udini, ukanda na ukabila.

yes tuseme HAPANA SASA YATOSHA
 
Nyumbani kwangu nina wafanyakazi wa ndani wa tano (5),wanne ni wakristo. Na huyo mmoja (wa tano) alisilimu mwenyewe kwa hiari yake baada ya kukaa nae miaka mingi toka 1996,...
Watano unahudumia timu ya mpira au nn mkuu?
 
Watano unahudumia timu ya mpira au nn mkuu?
Nashukuru Mungu familia yangu kubwa,..
Madada wa kazi ni watatu- (wawili ni kwaajili ya kazi za nyumba na mmoja ni kwaajili ya watoto)
Mahausiboi wako wawili- (mmoja kazi za nje ya nyumba na shughuli nyengine ndogo ndogo na mwengine ni kama kijana wangu tu,udereva na kumtuma kazi zangu binafsi za hapa na pale)

So watano ni wastani kabisa.
 
Kama kitu huna uhakika nacho usiropoke anapeleka dubai sio watumwa ni watu wanaokwenda kupata ajira tena mfanyakazi wa ndani hulipwa hadi laki mbili sio kweli ndugu zetu hawa wakifika dubai hujisahau na kuanza kutembea na baba wenye nyumba ni uongo wanaousambaza kuna watu wanatumia fursa hiyo ya mtemvu kuwadanganya ndugu zetu ubalozi upo na unafwata haki zote za wafanyakazi wa ndani usikubali kupelekwa kama hujapata karatasi za mkataba zilizosainiwa na balozi

Unasifia kazi za ndani au?
 
Ni sawa na wale dada masikini wa kutoka Nepal wanavyoletwa hapa kwa ajili eti ya kucheza ngoma za asili kumbe wanakuja kupigishwa umalaya.Je huyo Mtemvu kuna ndugu yake kampleleka huko kwenda kufanya kazi aiye we boy futa mavi toto.
 
naona mada kamili ni uaribifu wa tigo
 
Hivi hii scandal ya watanzania kuteswa na kufanywa watumwa Dibai mbona kimya kimezidi toka wizara ya kazi, mambo ya nje, balozi na zaidi Mbunge bwana Mtemvu na kampuni yake hii ya watumwa?

Mkuu tujuze kisa kamili wengine tupo mikoani hatujui hii kitu!
 
When have Arabs ever treated black people fairly? let alone as equals. Y'all seem to have forgotten your 500-year history with these desert dwellers.
Hata waislamu wenzao (weusi) wanadai sio waislamu kamili, ndio maana hata medium of instruction ya dini wanaifanya Kiarabu! Cheki waislamu weusi wanachofanyiwa kule Darfur
 
Hata waislamu wenzao (weusi) wanadai sio waislamu kamili, ndio maana hata medium of instruction ya dini wanaifanya Kiarabu! Cheki waislamu weusi wanachofanyiwa kule Darfur

Kweli kabisa. Mimi sishangazwi na hizi habari za waafrika kunyanyaswa arabuni. Wale jamaa ni katili sana kwa mtu mweusi. Hao wafilipino na wahindi nao wananyanyasika na kufanyiwa uovu sana arabuni. Lakini mswahili akiongea kiarabu ndio anajiona amekamilika. Aibu.
 
Tatizo wanatajiwa mshahara kwa shillings eti mshahara wako utakuwa laki tisa unaona hapo umeula kumbe hujui hata kazi ina mda gani
 
Waislamu wakienda hakuna tatizo maana Dubai sio ya makafir, makafir ndio hawafai. Makafir waende Ulaya na Marekani huko ndio kuna wafaa kwa kuwa kuna mfumo kristo.

Tumbafu sana, kwa hiyo na Waislamu wafukuzwe kwenye nchi za Ulaya na Marikani?
 
tumbafu sana, kwa hiyo na waislamu wafukuzwe kwenye nchi za ulaya na marikani?

wafukuzwe ulaya na marekani papuchi tutazipata wapi na wewe

mbona hivyo??hao wakila ushungi mchana usiku raha zako
 
Mimi ninauzoefu na dubai naenda kutembea kwa ndugu na jamaa sijayaona hayo ila sikatai yanaweza kuwepo..Kama unavyoweza kua na mfanyakazi hapa tanzania wangapi wanawatesa mpaka kuwatia vilema watoto wa watu so the same as dubai unaweza kua na bahati mbaya ukaenda kufanya kazi familia ya ovyo ndio hayo yanakukuta

Kama serikali inahusika katika kusimamia mikataba ya kazi kwa watanzania wanaoenda kufanya kazi huko basi sidhani kama kutakuwa na tatizo kubwa sana lisilofahamika. Kuna hulka ya binadamu kunyanyasa binadamu wengine, hata hapa nyumbani wafanyakazi wa ndani wananyanyasikwa kwa watanzania wenzao ambao wengine ni ndugu zao wa damu. Tabia hii lazima ikomeshwa na serikali, pamoja na watu wema katika jamii ambao ni wengi kuliko waovu, nyumbani na ugenini.

Kama ni kweli kwamba wafanyakazi wa ndani wananyang'anywa pass zao za kusafiria, kudhalilishwa kijinsia kutokana na hali zao za umasikini, basi huo ni ukabaila mpya, ni utumwa wa karne ya 21, ambao haupaswi kuvumiliwa hata kidogo. Ni heri watanzania wakarudi nyumbani, walime ama wale mihogo au makande wakiwa na uhuru na heshima ya utu wao kuliko kula pilau na mabiriani wakiishi katika utumwa! Haya si mambo ya kuingiza ushabiki wa ukawa na CCM, ni vema uchunguzi ukafanywa na serikali kama ni kweli watanzania wananyanyaswa, na kama unyanyasaji huo unawalenga wao kwa taifa walotoka au ni hulka ya wajinga wachache huko ugenini.
 
Hivi hii scandal ya watanzania kuteswa na kufanywa watumwa Dibai mbona kimya kimezidi toka wizara ya kazi, mambo ya nje, balozi na zaidi Mbunge bwana Mtemvu na kampuni yake hii ya watumwa?

Cha kufanya kama Uarabuni ni utumwani andaa kampuni yako utupeleke huko uingereza kwa makaburu tukafanye kazi na utuletee tiket na hela ya poket money kama hawa waarabu wanavofanya ili tupate ajira.

Huwa nailaumu sana Serikali ya Tanganyika kwa kuskiliza vijimaneno kama hivi vya umbea na choyo kwenye huu mtandao, au Jf ifungue sehemu ya " Umbea na Udaku"

Hulka za binadamu zinatofautiana sana, nina ndugu yangu yuko Arabuni mwaka wa5 huu na ameshajenga na amerudi mara3 hapa kuangalia wazee wake.

Sisemi kuwa matatizo hakuna lakini sio ulete hujuma hapa kwa kuwachukia watu na imani zao,kabila zao na maisha yao.

Acha kabisa kama wewe umebahatika na mlo wako akaleta majungu hapa ili na wenzako wakose
 
Salim Kikeke wa BBB swahili amemchana vibaya Mtemvu ambaye ndo mpiga debe na cordinator wa biashara hiyo kwa upande wa Tanzania (ingawa hakumtaja jina)...uyu Abbas Mtemvu aulizwe hao wasichana wa temeke anaowasafurisha kwa waarabu je wanafurahia kazi huko waliko? je wanaongea na ndugu zao wa nyumbani Tanzania? je wanalipwa kiasi gani? je hawajanyanganywa passport zao??………
 
Kwakifupi nikwamba katika jamii za watu wenye roho mbaya mwarabu anaongoza kama unabisha wewe fanya utafiti utanipa jibu.
 
Ni upumbavu hasa wa makabila ya kibantu kupost watu wao huko uarabuni kwa kazi ya uyaya....cha kushangaza ni waislam tu ndio wanakubaliwa.Na tabia hii hata hapo Dar imeenea,wanaofanya kazi za dami kwa wahindi ni waislam na hawana elimu,Kwa utafiti niliyofanya mpaka mkristo anayetafuta kazi hizo aweze kudanyanya jina la kislam ndiyo apate kazi.Na shauri jamii ya ukanda wa pwanu na kati pelekeni watoto hasa wa kike shule jamani.............

uongo ulioje!!!!!
 
Back
Top Bottom