Mtemvu na biashara ya Utumwa Dubai

Mtemvu na biashara ya Utumwa Dubai

Kifupi;kufanya kazi kwa mwarabu ni kajehanamu kadogo!!!!

hata kwa nyinyi watanzania limbukeni ni yayo bin yayo.

Si tunaona kwenye vyombo vya habari jinsi munavyowatesa wafanyakazi wenu wa ndani? Tena yule mmoja aliyeonyeshwa alikuwa ni mwanasheria kabisa.

Kazi kunyooshea vidole wenzenu tu na kwenu yako kwa wingi.
 
Salim Kikeke wa BBB swahili amemchana vibaya Mtemvu ambaye ndo mpiga debe na cordinator wa biashara hiyo kwa upande wa Tanzania (ingawa hakumtaja jina)...uyu Abbas Mtemvu aulizwe hao wasichana wa temeke anaowasafurisha kwa waarabu je wanafurahia kazi huko waliko? je wanaongea na ndugu zao wa nyumbani Tanzania? je wanalipwa kiasi gani? je hawajanyanganywa passport zao??………

ilikua lini hiyo mkuu?
 
ilikua lini hiyo mkuu?

mkuu jana kwenye dira ya dunia swahili service star TV aliripoti makala jinsi wasichana wanavyonyanyasika huko arabuni wanakopelekwa kufanya kazi za uyaya...alihijiwa mdada wa kesha ambaye alipelekwa huko kufnya kazi..its terrible..anaonya katu asiende mtu kule waarabu hawafai hata kidogo
 
mkuu jana kwenye dira ya dunia swahili service star TV aliripoti makala jinsi wasichana wanavyonyanyasika huko arabuni wanakopelekwa kufanya kazi za uyaya...alihijiwa mdada wa kesha ambaye alipelekwa huko kufnya kazi..its terrible..anaonya katu asiende mtu kule waarabu hawafai hata kidogo

sasa huyu mzee kila siku anaenda huko na familia yake inakuaje anashindwa kuwafikia aliowapeleka????
 
Kama kitu huna uhakika nacho usiropoke anapeleka dubai sio watumwa ni watu wanaokwenda kupata ajira tena mfanyakazi wa ndani hulipwa hadi laki mbili sio kweli ndugu zetu hawa wakifika dubai hujisahau na kuanza kutembea na baba wenye nyumba ni uongo wanaousambaza kuna watu wanatumia fursa hiyo ya mtemvu kuwadanganya ndugu zetu ubalozi upo na unafwata haki zote za wafanyakazi wa ndani usikubali kupelekwa kama hujapata karatasi za mkataba zilizosainiwa na balozi
Njoo utoe maelezo!
 
Kama kitu huna uhakika nacho usiropoke anapeleka dubai sio watumwa ni watu wanaokwenda kupata ajira tena mfanyakazi wa ndani hulipwa hadi laki mbili sio kweli ndugu zetu hawa wakifika dubai hujisahau na kuanza kutembea na baba wenye nyumba ni uongo wanaousambaza kuna watu wanatumia fursa hiyo ya mtemvu kuwadanganya ndugu zetu ubalozi upo na unafwata haki zote za wafanyakazi wa ndani usikubali kupelekwa kama hujapata karatasi za mkataba zilizosainiwa na balozi
Ni zaid ya laki mbl mkuu, kwa kuanzia sa iv unaanzia na 70 riyaal ambapo 1 riyaal ni sawa na 5650/- ila kila baada ya 12 months ten more riyaal.
 
Wewe funga domo lako kama hujui kitu, jiulize kwa nini Kenya wamefuta usajili wa kampuni zote za kupeleka watumwa Uarabuni?

Kwanza wewe inaonekana ni nyumba ndogo ya Mtemvu au karani wake, utapeli tumeshaujuwa kaa mkao wa kula jiandae kuangalia ITV kipindi cha report maalum uone video za wahanga wa manyanyaso ya waarabu.

Kama unaona kuna maslahi peleka tigo yako Uarabuni wakaibomoe.
Mbn wakenya wapo wengi huku mkuu, tena wengi kuliko unavyofikiria
 
Unatoka hapa kwenda Dubai kufanya kazi za ndani! UYAYA! GIMME A BREAK!,utu uko wapi hapa,

Dada zetu wakifika uko ni mateso matupu,passport wananyan'ganywa,mateso kibao,vipigo,kufanyishwa kazi kwa muda mrefu,kenya imefuta leseni zote za wakala wa kutafuta ajira ughaibuni,

Huyu mtemvu,inabidi achunguzwe,hii biashara anayofanya ni HUMAN TRAFFICKING period!
 
Back
Top Bottom