Hivi hii scandal ya
watanzania kuteswa na kufanywa watumwa Dibai mbona kimya kimezidi toka
wizara ya kazi, mambo ya nje, balozi na zaidi Mbunge bwana Mtemvu na
kampuni yake hii ya watumwa?
Fafanua!
Kama kitu huna uhakika nacho usiropoke anapeleka dubai sio watumwa ni watu wanaokwenda kupata ajira tena mfanyakazi wa ndani hulipwa hadi laki mbili sio kweli ndugu zetu hawa wakifika dubai hujisahau na kuanza kutembea na baba wenye nyumba ni uongo wanaousambaza kuna watu wanatumia fursa hiyo ya mtemvu kuwadanganya ndugu zetu ubalozi upo na unafwata haki zote za wafanyakazi wa ndani usikubali kupelekwa kama hujapata karatasi za mkataba zilizosainiwa na balozi
Mkuu una nini??Wewe funga domo lako kama hujui kitu, jiulize kwa nini Kenya wamefuta usajili wa kampuni zote za kupeleka watumwa Uarabuni?
Kwanza wewe inaonekana ni nyumba ndogo ya Mtemvu au karani wake, utapeli tumeshaujuwa kaa mkao wa kula jiandae kuangalia ITV kipindi cha report maalum uone video za wahanga wa manyanyaso ya waarabu.
Kama unaona kuna maslahi peleka tigo yako Uarabuni wakaibomoe.
Kama kitu huna uhakika nacho usiropoke anapeleka dubai sio watumwa ni watu wanaokwenda kupata ajira tena mfanyakazi wa ndani hulipwa hadi laki mbili sio kweli ndugu zetu hawa wakifika dubai hujisahau na kuanza kutembea na baba wenye nyumba ni uongo wanaousambaza kuna watu wanatumia fursa hiyo ya mtemvu kuwadanganya ndugu zetu ubalozi upo na unafwata haki zote za wafanyakazi wa ndani usikubali kupelekwa kama hujapata karatasi za mkataba zilizosainiwa na balozi
Upo uzi humu una majina mpaka pasi namba, majina ya waliosaini nyaraka na maelezo ya huyo ajenti aliyempeleka!!muanzisha post bila shaka ana lake jambo na mtemvu, anaonekana anasikiliza maneno ya kijiweni na kuyaleta hapa. Lete uthibitisho wa mtu mmoja tu aliyepelekwa huko na kampuni ya Mtemvu na akapatwa na hayo unayoyasema, vinginevyo una wivu wa kike.
Full nondo!!!!!!!Upo uzi humu una majina mpaka pasi namba, majina ya waliosaini nyaraka na maelezo ya huyo ajenti aliyempeleka!!
Hebu usome ule uzi kwanza
Akili towashi!!!Waislamu wakienda hakuna tatizo maana Dubai sio ya makafir, makafir ndio hawafai. Makafir waende Ulaya na Marekani huko ndio kuna wafaa kwa kuwa kuna mfumo kristo.
Acheni mambo ya kusikia "tende ndio udongo wa arabuni" Kwanini wanawake wa kifilipino wanafundishwa mafunzo ya karate kabla ya kwenda Arabuni. Huyo mpuuzi anaysema Ubalozi unasaidi watanzania, lini na wapi? Kuna madada wa kibongo walipelekwa kusoma India, Russia, Ukraine nk, Balozi zimewatelekeza nawengi wao ni machangudoa. Balozi za Tanzania nje zipo kwa kumpokea JK na mawaziri wake
Kama kitu huna uhakika nacho usiropoke anapeleka dubai sio watumwa ni watu wanaokwenda kupata ajira tena mfanyakazi wa ndani hulipwa hadi laki mbili sio kweli ndugu zetu hawa wakifika dubai hujisahau na kuanza kutembea na baba wenye nyumba ni uongo wanaousambaza kuna watu wanatumia fursa hiyo ya mtemvu kuwadanganya ndugu zetu ubalozi upo na unafwata haki zote za wafanyakazi wa ndani usikubali kupelekwa kama hujapata karatasi za mkataba zilizosainiwa na balozi