Taswira
JF-Expert Member
- Sep 23, 2012
- 1,198
- 447
Vijana wawili wa CCM wanaotajwa kuondoka CHADEMA kwa kukosa maelewano na kiongozi wa juu wa chama hicho.Muda huu wapo ndani ya ofisi za CCM wilaya hapa Vwawa huku wakiwa na msululu wa magari toka Mjini,Kyela,Tukuyu na Mbozi yenyewe.(Magari hayo niyaviongozi tu wa chama katika wilaya tajwa hizo).
baada ya muda mfupi wataondoka kuelekea Mlowo mjini alipokulia Mtela mwampamba(MOTHERLAND) kwenye mkutano mkubwa wa hadhara ambao utaongozwa na Mwigulu nchemba pia viongozi wengine wa chama wa CCM mkoa.
UPDATES
Mkutano umemalizika salama hapa Mbozi,Hakuna tatizo lolote lilotokea kama ambavyo vijana wengi wakeshaji mitandaoni tunavyodhania kuwa maneno ndio vitendo.
Mtela mwampamba amepokewa vizuri sana na wana mbozi,Kimsingi amewaeleza namna alivyoondoka chadema,Udhaifu wa chadema,Ujuha unaofanywa na dr.slaa ndani ya chadema.Pia amewaomba ushirikiano wana mbozi katika kukipa nafasi chama cha mapinduzi kiendelee kuongoza mbeya na hata taifa kwa ujumla.
Mtela mwampamba pia amemshukia Dr.slaa kwa kusema asahau kabisa kupata kura ndani ya jimbo la Mbozi"Hili ni poli nililofyeka mimi,najua wapi nianzie wpai nimalizie,Huyo dr.slaa na mchumba wake wanakesha kuota namna ya kutumia poli nililofyeka mimi.Hizi ni ndoto za mtoto mchanga katu hazina madhara"
Nimeondoka chadema kwa kufukuzwa na chama,Nimefukuzwa kwasababu nilikuwa mwadilifu,mhojaji na mkosoaji kwa viongozi wachama namna ruzuku inavyoliwa na watu wachache ilihali kuna wilaya na mikoa chama hakijapeleka hata bendera.kwa hiyo kosa langu lilikuwa ni kuhoji mamilioni anayojikopesha dr.slaa ruzuku ya chama,Kosa langu lilikuwa kuhoji kwanini chama hakina ofisi ya kudumu?kosa langu lilikuwa kuhoji ruzuku ya chama inayovushwa kwenda dubai kununu nyumba za wakuu wa chama?kosa langu lilikuwa kupinga ukabila na ukanda ndani ya chama hasa kwenye ugawaji wa vyeo na majukumu ya kikazi.
Hivi wanambozi naomba mniambie kwanini HAI kuna wabunge watatu wa chadema jimbo moja?SIRI yake ni mimba tunazoziona leo.
Wanambozi jiulizeni mamilioni ya ruzuku ya chadema na yale ya sabodo mbona hatuoni hata kiwanja cha ofisi ya chadema?hadi leo wananishi nyumba ya kupanga.
Tutawapa nchi wakimbiziiiiiiiiiiii???hiki sio chama ni kundi la wahuni.
Nimeamua kujiuna CCM kwa hiali yangu,Nitajitolea kuitumikia CCM na nchi yangu kwa nguvu zote.Mwisho wa CHADEMA mefika,MUNGU AZILAZE ROHO mahali pema za wote waliokufa kwa maandamano ya maksudi ya CHADEMA ili watimize malengo yao tunayoyasikia sasa.
JULIANA SHONZA amewataka vijana hasa akina mama kutoruhusu vijana kukiunga mkono chama chenye element z aumwagaji damu.Kuisapoti chadema ni sawa na kusapoti uvunjifu wa amani ndani ya taifa letu.Juliana ameenda mbali kwa kusema CCM wanajali misingi ya usawa hawana ubaguzi wa kikabila wala kikanda kama chadema ilivyo.Hivyo basi ni jukumu la kila mtanzani kuachana na siasa za kinafiki za chadema kwa sbabau lengo lao ni kuzalisha fedha za ruzuku waendelee kula na sio kuwaletea maendeleo wananchi.
Juliana amesisitiza hatoteteleka kwa vitisho vyovyote vile,anaijua CHADEMA kwa kila kitu.Alifanya kosa kubwa sana kupoteza nguvu na jasho lake kukitumikia chama chenye mlengo wa kikabila na ukanda.
Nimejiunga CCM kwa akili zangu bila kushinikizwa na mtu.Naomba wanambozi tushirikiane kukijenga chama,Tuachane na siasa za maji taka za hawa CHADEMA.
Vilevile mwenyekiti wa CCM wilaya aliwapokea vijana hao kwa kusema CCM ni chama dume CCM ndio baba na mama wa maendeleo ya watanzania.mwampamba ni kijana wetu tutamlea na kumkuza katika maadili mema.
baada ya muda mfupi wataondoka kuelekea Mlowo mjini alipokulia Mtela mwampamba(MOTHERLAND) kwenye mkutano mkubwa wa hadhara ambao utaongozwa na Mwigulu nchemba pia viongozi wengine wa chama wa CCM mkoa.
UPDATES
Mkutano umemalizika salama hapa Mbozi,Hakuna tatizo lolote lilotokea kama ambavyo vijana wengi wakeshaji mitandaoni tunavyodhania kuwa maneno ndio vitendo.
Mtela mwampamba amepokewa vizuri sana na wana mbozi,Kimsingi amewaeleza namna alivyoondoka chadema,Udhaifu wa chadema,Ujuha unaofanywa na dr.slaa ndani ya chadema.Pia amewaomba ushirikiano wana mbozi katika kukipa nafasi chama cha mapinduzi kiendelee kuongoza mbeya na hata taifa kwa ujumla.
Mtela mwampamba pia amemshukia Dr.slaa kwa kusema asahau kabisa kupata kura ndani ya jimbo la Mbozi"Hili ni poli nililofyeka mimi,najua wapi nianzie wpai nimalizie,Huyo dr.slaa na mchumba wake wanakesha kuota namna ya kutumia poli nililofyeka mimi.Hizi ni ndoto za mtoto mchanga katu hazina madhara"
Nimeondoka chadema kwa kufukuzwa na chama,Nimefukuzwa kwasababu nilikuwa mwadilifu,mhojaji na mkosoaji kwa viongozi wachama namna ruzuku inavyoliwa na watu wachache ilihali kuna wilaya na mikoa chama hakijapeleka hata bendera.kwa hiyo kosa langu lilikuwa ni kuhoji mamilioni anayojikopesha dr.slaa ruzuku ya chama,Kosa langu lilikuwa kuhoji kwanini chama hakina ofisi ya kudumu?kosa langu lilikuwa kuhoji ruzuku ya chama inayovushwa kwenda dubai kununu nyumba za wakuu wa chama?kosa langu lilikuwa kupinga ukabila na ukanda ndani ya chama hasa kwenye ugawaji wa vyeo na majukumu ya kikazi.
Hivi wanambozi naomba mniambie kwanini HAI kuna wabunge watatu wa chadema jimbo moja?SIRI yake ni mimba tunazoziona leo.
Wanambozi jiulizeni mamilioni ya ruzuku ya chadema na yale ya sabodo mbona hatuoni hata kiwanja cha ofisi ya chadema?hadi leo wananishi nyumba ya kupanga.
Tutawapa nchi wakimbiziiiiiiiiiiii???hiki sio chama ni kundi la wahuni.
Nimeamua kujiuna CCM kwa hiali yangu,Nitajitolea kuitumikia CCM na nchi yangu kwa nguvu zote.Mwisho wa CHADEMA mefika,MUNGU AZILAZE ROHO mahali pema za wote waliokufa kwa maandamano ya maksudi ya CHADEMA ili watimize malengo yao tunayoyasikia sasa.
JULIANA SHONZA amewataka vijana hasa akina mama kutoruhusu vijana kukiunga mkono chama chenye element z aumwagaji damu.Kuisapoti chadema ni sawa na kusapoti uvunjifu wa amani ndani ya taifa letu.Juliana ameenda mbali kwa kusema CCM wanajali misingi ya usawa hawana ubaguzi wa kikabila wala kikanda kama chadema ilivyo.Hivyo basi ni jukumu la kila mtanzani kuachana na siasa za kinafiki za chadema kwa sbabau lengo lao ni kuzalisha fedha za ruzuku waendelee kula na sio kuwaletea maendeleo wananchi.
Juliana amesisitiza hatoteteleka kwa vitisho vyovyote vile,anaijua CHADEMA kwa kila kitu.Alifanya kosa kubwa sana kupoteza nguvu na jasho lake kukitumikia chama chenye mlengo wa kikabila na ukanda.
Nimejiunga CCM kwa akili zangu bila kushinikizwa na mtu.Naomba wanambozi tushirikiane kukijenga chama,Tuachane na siasa za maji taka za hawa CHADEMA.
Vilevile mwenyekiti wa CCM wilaya aliwapokea vijana hao kwa kusema CCM ni chama dume CCM ndio baba na mama wa maendeleo ya watanzania.mwampamba ni kijana wetu tutamlea na kumkuza katika maadili mema.
Muda huu nyumbani nilikozaliwa mlowo mbozi mbeya.
HII NDIO CCM!
Hebu sema neno hapa Comrade Mwigulu Nchemba akiongea na wana Mlowo-Mbozi kwenye Mkutano wa Hadhara!
Hebu sema neno hapa Comrade Mwigulu Nchemba akiongea na wana Mlowo-Mbozi kwenye Mkutano wa Hadhara!