Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,397
- 7,979
Kwanza kwa nini wanaliita jukwaa huru wakati uhuru wao umepotelea Lumumba hawawezi kutoa mawazo huru yasiyofungamana na itikadi?
Tukija kwenye mada ni dhahiri alichoongea ni karata yake nyingine ya kusikika ili mzee ajaribu kumfikiria kama DC mmoja akifa. Katika hali ya kawaida uteuzi wa raisi haukosolewi popote kwa vile anayo mamlaka ya kikatiba kuchagua watu anaowataka yeye kwa vigezo vyake, je mamlaka ya kusifia na kupongeza uteuzi wa raisi Mtela Mwampamba ameyatoa wapi?
Tukija kwenye mada ni dhahiri alichoongea ni karata yake nyingine ya kusikika ili mzee ajaribu kumfikiria kama DC mmoja akifa. Katika hali ya kawaida uteuzi wa raisi haukosolewi popote kwa vile anayo mamlaka ya kikatiba kuchagua watu anaowataka yeye kwa vigezo vyake, je mamlaka ya kusifia na kupongeza uteuzi wa raisi Mtela Mwampamba ameyatoa wapi?