Mtela Mwampamba jipime!

Mtela Mwampamba jipime!

Kwanza kwa nini wanaliita jukwaa huru wakati uhuru wao umepotelea Lumumba hawawezi kutoa mawazo huru yasiyofungamana na itikadi?

Tukija kwenye mada ni dhahiri alichoongea ni karata yake nyingine ya kusikika ili mzee ajaribu kumfikiria kama DC mmoja akifa. Katika hali ya kawaida uteuzi wa raisi haukosolewi popote kwa vile anayo mamlaka ya kikatiba kuchagua watu anaowataka yeye kwa vigezo vyake, je mamlaka ya kusifia na kupongeza uteuzi wa raisi Mtela Mwampamba ameyatoa wapi?
 
Kijana Mtela Mwampamba na masalia wenzake baada ya kufurushwa CHADEMA kwa makosa ya usaliti alijiunga na CCM na kujifanya yeye ni kada kuliko makada aliowakuta huko.!

Kazi yake kubwa aliyopewa huko ikawa ni kutokana,kukashifu,kuchafua na kufanya propaganda na siasa za maji taka dhidi ya CHADEMA na viongozi wake kwa ahadi ya kupewa ukuu wa wilaya.

Leo Rais ameteua wakuu wapya wa wilaya jina lake halipo wakati vijana wenzake aliowaacha Bavicha akina John Heche.Upendio Peneza,Peter Lijualikali,Mwakajoka leo ni wabunge na wengine wengi ni madiwani.

Ni wakati wake wa kujipima kama aendelee kutumika kama ile karatasi laini ya chooni au atubu na kurudi kwenye jeshi la ukombozi.CCM ina wenyewe na yeye si mmojawapo!
Kwa mujibu wa biblia takatifu laana ya usaliti inatafuna hadi kizazi cha 4
 
Haonga mbunge aliyesoma nae Duce mwaka mmoja ndie kamuondoa Zambi wakati yeye ilisemekana alipewa ndululu akaachia
 
Kwa mantiki hiyo wanachama wa vyama vyote wasiopewa nafasi mbalimbali wajipime.
Viti maalum tu vinatosha kusambaratisha vyama vyote.
 
Kijana Mtela Mwampamba na masalia wenzake baada ya kufurushwa CHADEMA kwa makosa ya usaliti alijiunga na CCM na kujifanya yeye ni kada kuliko makada aliowakuta huko.!

Kazi yake kubwa aliyopewa huko ikawa ni kutokana,kukashifu,kuchafua na kufanya propaganda na siasa za maji taka dhidi ya CHADEMA na viongozi wake kwa ahadi ya kupewa ukuu wa wilaya.

Leo Rais ameteua wakuu wapya wa wilaya jina lake halipo wakati vijana wenzake aliowaacha Bavicha akina John Heche.Upendio Peneza,Peter Lijualikali,Mwakajoka leo ni wabunge na wengine wengi ni madiwani.

Ni wakati wake wa kujipima kama aendelee kutumika kama ile karatasi laini ya chooni au atubu na kurudi kwenye jeshi la ukombozi.CCM ina wenyewe na yeye si mmojawapo!
Nafikiri aendelee kukaza uzi kwani kazi yake inaonekana. Hawa uwasemao wapo wanazurula Dodoma hawana kitu. Kazi ya Mwampamba imekuwa ikiwafanya wajinga wa chadema humu jamvini kupishana kuleta uzi kuhusu yeye.
 
mwenzako yu Das baki hivyohivyo, mate wangu fanyakaz udas baadae uende mbele
 
Back
Top Bottom