Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,671
- 40,918
Haha, nothing mkuu, i do politics out of passion,Teh! Look like you expected something...
Haha, nothing mkuu, i do politics out of passion,Teh! Look like you expected something...
Ipi sasa mkuu, ofisi zipo nyingi ujue.Mtunza ofisi
Ofisi ndogo Lumumba,mkuu Safina ilipoondoka nilipata nafasi.Waache Lizaboni na wenzake iwakute gharika.Ipi sasa mkuu, ofisi zipo nyingi ujue.
HAlafu nimekumbuka; Mungu ana maajabu yake, mimi na Mingoi leo tuko mlengo 1?
VITU maalumu mjengoniMkuu naomba unisaidie, Juliana Shonza kaula wapi? Nina siku nyingi kweli sijamuona huku jukwaani na zile thread zake za kukashifu viongozi wa chadema.
Paka mbwa panya mbuzi tembo wamekosa ukuu wa wilaya umejisikiajePost zingine bhana.. Kujadili watu
Ameanzisha jukwaa la wakereketwa wa ccmKijana Mtela Mwampamba na masalia wenzake baada ya kufurushwa CHADEMA kwa makosa ya usaliti alijiunga na CCM na kujifanya yeye ni kada kuliko makada aliowakuta huko.!
Kazi yake kubwa aliyopewa huko ikawa ni kutokana,kukashifu,kuchafua na kufanya propaganda na siasa za maji taka dhidi ya CHADEMA na viongozi wake kwa ahadi ya kupewa ukuu wa wilaya.
Leo Rais ameteua wakuu wapya wa wilaya jina lake halipo wakati vijana wenzake aliowaacha Bavicha akina John Heche.Upendio Peneza,Peter Lijualikali,Mwakajoka leo ni wabunge na wengine wengi ni madiwani.
Ni wakati wake wa kujipima kama aendelee kutumika kama ile karatasi laini ya chooni au atubu na kurudi kwenye jeshi la ukombozi.CCM ina wenyewe na yeye si mmojawapo!
Hivyo anahitaji uangalizi wa ziada maana anaweza kujizuru?mwezako anaugulia maumivu muda huu.
Mkuu jana jioni nilikutana naye kachomekea koti mitaa ya malapa inLizaboni amezia na kukimbizwa hospitalini
Lizaboni na mulongo siku ya jana hawatakaa waisahau maishani mwaoNimecheeka sana Lizaboni kwenye ule uzi wenye orodha
Anakaa kuuliza tu list nyingine iko wapi, list nyingine iko wapi?
Ah hahahahaaaa nadhani kwa mapambano haya ndani ya jf alikuwa na uhakika
Mkuu leo hii lizaboni kasema yeye analipwa zaidi ya wenzake zaidi ya buku 7Nasikia Magufuli akishakabidhiwa chama anafunga ofisi ya Lumumba kazi zote za chama zitafanyikia Dodoma kubana matumizi.Hapo ndipo kuta kuwa na kilio cha kusaga meno na kuisoma namba kwa wale vijana wa buku saba!
Nasikia yeye na yule wa kudadavua wamepanga kwenda kuandamana kwa mwenyekitiHahaaaaaaa lizabon sijui yuko kwenye. Hali gan ss hivi
we endelea kuisoma namba.mtajiwehusha sana awamu hiikazi za kujenga chama sio lazima upate UDC. Kazi inaendelea.
Rafiki yangu mmoja kapata UDC kwa sababu ya kada na si utendaji.Kw JPM ni utendaji na sio mambo ya ukada WA Chama. Kama Kuna mtu bado Ana mawazo ya ukada amepotea njia
Lizaboni amezia na kukimbizwa hospitalini
Eti wanakijenga chama wakati familia zao majumbani wanashindia uji wa chumviwe endelea kuisoma namba.mtajiwehusha sana awamu hii
Wewe mdanganye mwenzako,Mtela Mwampamba a.k.a Ganzi usikate tamaa,endelea kufanya harakati kama kawaida,chama kinakuangalia na kuna siku mambo yatakua mazuri.
Yaani wewe kumbe ndiyo unachangia kumsifu mtu wakati humjui?Kwani unamfahamu Lizaboni kwa sura????