Mtela Mwampamba jipime!

Malata Junior

JF-Expert Member
Nov 29, 2011
3,101
2,536
Kijana Mtela Mwampamba na masalia wenzake baada ya kufurushwa CHADEMA kwa makosa ya usaliti alijiunga na CCM na kujifanya yeye ni kada kuliko makada aliowakuta huko.!

Kazi yake kubwa aliyopewa huko ikawa ni kutokana,kukashifu,kuchafua na kufanya propaganda na siasa za maji taka dhidi ya CHADEMA na viongozi wake kwa ahadi ya kupewa ukuu wa wilaya.

Leo Rais ameteua wakuu wapya wa wilaya jina lake halipo wakati vijana wenzake aliowaacha Bavicha akina John Heche.Upendio Peneza,Peter Lijualikali,Mwakajoka leo ni wabunge na wengine wengi ni madiwani.

Ni wakati wake wa kujipima kama aendelee kutumika kama ile karatasi laini ya chooni au atubu na kurudi kwenye jeshi la ukombozi.CCM ina wenyewe na yeye si mmojawapo!
 
Kijana Mtela Mwampamba na masalia wenzake baada ya kufurushwa CHADEMA kwa makosa ya usaliti alijiunga na CCM na kujifanya yeye ni kada kuliko makada aliowakuta huko.!

Kazi yake kubwa aliyopewa huko ikawa ni kutokana,kukashifu,kuchafua na kufanya propaganda na siasa za maji taka dhidi ya CHADEMA na viongozi wake kwa ahadi ya kupewa ukuu wa wilaya.

Leo Rais ameteua wakuu wapya wa wilaya jina lake halipo wakati vijana wenzake aliowaacha Bavicha akina John Heche.Upendio Peneza,Peter Lijualikali,Mwakajoka leo ni wabunge na wengine wengi ni madiwani.

Ni wakati wake wa kujipima kama aendelee kutumika kama ile karatasi laini ya chooni au atubu na kurudi kwenye jeshi la ukombozi.CCM ina wenyewe na yeye si mmojawapo!
Kw JPM ni utendaji na sio mambo ya ukada WA Chama. Kama Kuna mtu bado Ana mawazo ya ukada amepotea njia
 
Kijana Mtela Mwampamba na masalia wenzake baada ya kufurushwa CHADEMA kwa makosa ya usaliti alijiunga na CCM na kujifanya yeye ni kada kuliko makada aliowakuta huko.!

Kazi yake kubwa aliyopewa huko ikawa ni kutokana,kukashifu,kuchafua na kufanya propaganda na siasa za maji taka dhidi ya CHADEMA na viongozi wake kwa ahadi ya kupewa ukuu wa wilaya.

Leo Rais ameteua wakuu wapya wa wilaya jina lake halipo wakati vijana wenzake aliowaacha Bavicha akina John Heche.Upendio Peneza,Peter Lijualikali,Mwakajoka leo ni wabunge na wengine wengi ni madiwani.

Ni wakati wake wa kujipima kama aendelee kutumika kama ile karatasi laini ya chooni au atubu na kurudi kwenye jeshi la ukombozi.CCM ina wenyewe na yeye si mmojawapo!
Hiyo ndo faida ya U
Lizaboni amezia na kukimbizwa hospitalini
Itakuwa peramiho hospital ICU
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom