LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Katika hali ya simanzi na isiyotarajiwa na wengi basi la kampuni ya Mtei Express inayofanya roots kt ya Jiji la Arusha na Mkoa wa Manyara leo alasiri ilipinduka ktk barabara ya Arusha Babati eneo la Kisongo CMC area na kujeruhi watu zaidi ya 20 na hata hivyo kuna hofu ya watu kupoteza. Ilikuwa ni mteremko mkali kwa wastani na kubasti tairi ya mbele na ndipo akashindwa kulimudu na likapinduka kushoto mwa barabara kama unatoka Arusha kuelekea Manyara. Kwa kweli ndipo lile neno linakamilika ya kwamba "NI MAJALIWA YAKE MUNGU KUIONA MWAKA" na nikapenda kuwatakia majeruhi pole nyingi wapone mapema waendelee na ujenzi wa Taifa.
Source: Ni kwa aliyetoka eneo la tukio!
Source: Ni kwa aliyetoka eneo la tukio!