Huyu Mzee naye anazeeka vibaya, anasifu ujinga.
Eti Rais anasema " jamani tusije onana wabaya"!! moral authority zero!! we are damned up to 2015!!wewe ndio unazeeka vibaya kushindwa kujua kuwa kikwete ni dhaifu sana,najua hata ulio nao karibu wanajua hilo.
Wewe kabisa uingie kwenye mzani na kumpuuza Edwin Mtei!!!! strange kweli vichuguu ni hatari kumbe waweza jikwaa!!Ni kwa asiyemjua huyu mzee tu ndio atakayesumbuka, anajulikana kwa tabia yake ya kujadili watu kwa majina yao.
Hana tija kwa taifa letu apuuzwe.
Yaani hivi nchi hii hakuna kanuni kama ile ya Bunge ya kumtoa nje ya nchi mtu kama huyu anayesema kuwa Raisi kikwete ni Dhaifu??????
Mh. Lukuvi kwa nini na hapa usiombe Mwongozo wa Spika ili Bw. Mtei atolewe nje ya nchi, kwani hatuwezi kumtoa Bungeni kwa sababu siyo mbunge hivyo inabidi atolewe nje ya nchi kwa kutoa maneno yanayofanana na ya Mh. Mnyika.
Lukuvi fanya kazi yako:
MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
Huyu Mzee naye anazeeka vibaya, anasifu ujinga.
Press your order NOW!!!
pambav zake,wewe utakuwa umezaliwa miaka ya 90,humjui nyerere unamsikia tu.Tuulize sisi tuliokuwepo enzi za utawala wake wa udikteta.Acha kuropoka dogo unamezeshwa maneno unatapika.Unataka kuchokoza machungu yetu dhidi ya huyo mzee mchonga meno
Kwani rais kazi yake ni kuwatia ndani wezi?
Na hiyo bajeti ya upinzani ina tofauti gani na bajeti ya serikali?
Huyu Mzee naye anazeeka vibaya, anasifu ujinga.
Nchi nzima inajua kuwa JK ni dhaifu na kuna mzungu mmoja katika gazeti fulani aliandika makala ambayo iliwekwa hapa jamvini akisema kuwa "JK is a global laughing stock" yaani hata watu wa nje wanalijua hilo. Magamba wote wanalijua hilo na wamshukuru sana Mh.Mnyika kuwasemea kwa sababu kwenye chama chao hakuna mwenye udhubutu.
Kwa hiyo basi kama JK anataka kuondokana na fedheha hii hana budi kutimiza kile wananchi wanacho tarajia kutoka kwake. This guy is tired and he is not the man of action. Hivi sasa tunanyemelewa na mgomo wa madaktari, mtaona jinsi atakavyo ushughulikia kama siyo kupanda ndege na kukimbia.
IMF na WB kamwe hazitatusaidia kuleta maendeleo, bali kuleta unyonyaji wa maliasili zetu,kututumbukiza kwenye madeni na kuondoa usawa kati yetu.Remember this old man was the BOT Chief during Mwalimu Nyerere's era.
Kwa hiyo Mtei siyo mtu wa kumbeza hata kidogo. Enzi zake hakuwahi kuboronga kama kina Balali na kina Mchembe wanaodai eti ni 1st Class Economists! Upumbavu mtupu!
Alichokisema BOT Governor(rtd) ni ukweli na hata Rais wako Kiwete amesikia na kama ana masikio ya kusikia. Kwa hiyo sms is sent!
Huyu Mzee naye anazeeka vibaya, anasifu ujinga.