Mtego wa Rais kwa CAG

CAG hana mandate ya kukagua kampuni binafsi. Ni kutokuelewa tu kwa Mheshimiwa.
 
Kichaa at work
 
Wanawake wenye payo namna hii, wana msongo wa mawazo sana. Zungumza na unayemuamini uliye nae karibu akusaidie kimawazo. Pole sana, yatakwisha.

Ha ha ha haaaaaaaaa

Usijaribu kuniambukiza matatizo yako, kaa na hayo uliyoyandika huko huko.
 
siyo hivyo tu na Bunge 'ameliagiza' liunde tume ya uchunguzi! What a waste of resources?
 
Kwa nn mnamsaidia kusema? Yeye ni binadamu hakuna asiye na mapungufu na km amechemka sehemu ni sawa pia its part of life. Hakuna rais amewahi kulalamikiwa km huyu kwa maamuzi yake yenye utata.

Wanaolalamikia JPM ni wale wahuni. Tena sitaki hata kuwasikia. Walizoea kufanya Tanzania shamba la bibi. No more!
 

Rais anapanga mambo yake kwa kuondoa kabisa hali ya wahuni kuhonga wasaidizi wa Rais. Ni kwa njia hiyo tu ndipo tutaweza kupata matokeo chanyA+ kwasasa. Watanzania hawaaminiki tena. Hata mimi sitaki kuaminiwa muda huu. Ni mguu kwa mguu.
 
WA TANZANIA SIO MNACHANGIA PUMBA KWAKUA KILA MTU ANAWEZA CHANGIA. HILI NI SWALA NYETI SANA NA NI MASLAI YA TAIFA HATA ZIKIUNDWA TIMU 10 NISAWA MAANA HAPO KUNAUDANGANYIFU WA WAZI HATUWEZI JILIDHISHA NA MAJIBU YA TIMU MOJA. ANGEKUWA AAMINIKI ASINGE TUMWA. HATA MIMI NINGE KUWA RAIS NINGE FANYA HIVYOHIVYO. NA KUNA HAJA YA KUBORESHA KITENGO CHA INTEREGINCIA ILI KIWE NA VITENGO MBALIMBALI VYAKUWEZA PAMBANA NA MAMBO KAMA HAYA. DUNIA IMEBADILIKA TEKNOLOGIA IMEONGEZEKA NA HUALIFU UNAKUA TUSILALE HAKUNA MUDA WA MCHEZO TENA. WA TANZANIA TUACHE KUISHI KWA MAZOEA
 
Hakukuwa na haja ya kutangaza kuwa ataunda invisible team.
Hii itamfanya CAG asifanye kazi yake kwa uhuru na weledi.
Inamaana CAG atahongwa na hayo makampuni ya madini ili apindishe ukweli?
 
Kwa nini asiende mweyewe kukagua hiyo migodi,?
 
CAG naye ni binadamu, na hii issue ni nyeti. Huko nyuma tuliona Ma CAG wakishambuliwa bungeni kwa kupindisha ukweli.

Kwa kuunda timu kadhaa, Rais anataka tu kujiridhisha na ukweli ..! Nafikiri ni strategy nzuri kwa kiongozi yeyote.
Si alisema kwenye uongoz wake hamna mambo ya kuunda tume yeye ni maamuzi tu?.. wabongo tuache unafiki
 
Rais ameonyesha udhaifu mkubwa sana , hii INA maana kwamba hamwamini CAG
Haaminiki mtu hapa ili kujiridhisha lazima kuwa na vyombo zaidi ya kimoja,siku hizi kuna ujanja mwingi kutoka kwa hawa wataalamu,na nyie hamna zuri kila kitu ni kuloloma tu,yakitokea mabaya ni wa kwanza kulaumu kuwa oh mbona serikali haikufanya hivi na vile
 
Nimeangalia maelekezo ya JPM ni kama hamuamini mtu, anataman angewatuma hata malaika
 
Ukweli ni kuwa, watanzania wamekuwa waongo, wapigaji, wazandiki...

Ukitaka kujua hilo pita kwenye viwanja vikubwa vya ndege duniani, wakiona pasi yako ya kusafiria ndio utajua raha ya kuitwa mtanzania miaka hii.

Ngoja tu aunde hata timu kumi, hatiaminiki tena. Sasa kama hata wabunge, wawakilishi wetu tuliowachagua, wakiwa kwenye kamati za bunge wanapewa mlungula ili tu kuzima baadhi ya madudu ya haya mashirika yetu, unadhani kuna wa kuaminika tena...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…