Duh kumbe wanatuliaga hao eehKama Savana za elfu 10 tu Zina nasa samaki ...mbinu ya kucheki afya itashindwaje....?
Hapa ndio Kama demu alikua ni bahamedi kapinda ile ile akienda kucheki afya akajikuta yupo fiti na ukamuweka ndani atatuliaaa ...mlokole akasome
Mkuu hujamlisha hata kipaja cha kuku alafu umburute mkapime ngoma?
Sawa bwana upo vizuri..Nenda kacheki nyingine
Ukiwa na US code automatically unakuwa rich ?Kama unahisi labda Mimi masikini Sana ndio maana nazila mbususu kwa kwa style hiyo ........Basi namba yangu hii hapa
+1 (207) 640-2179
Kwamba Kibatala mimi nimekosea hii cros-examination??Umefikiria nje ya nilichomanisha