Tatizo humu madomo zege ni wengi mnoMleta uzi kasahau kutoa maelekexo muhimu hapa;
Hii mbinu itafanya kazi kama una gari kali, kazi ya uhakika, nyumba ya kuishi plus udambwi udambwi unaohusiana na pesa.
Kila la kheri wasaka mbususu.
Ya kisngSijui wanatuchukuliaje hawa watu
Mbinu ya kiboya kabisa hii
Mbinu ya kibwegeMbona ushuhuda upo hapo juu
Walio nje ya jf,ambao hawakupitia huu uzi vizur na ambao kwa namna moja au nyingine walipuuzia huu uzi, Asee cku sio nyingi wataliwa kimasiharaSijui wanatuchukuliaje hawa watu
Mbinu ya kiboya kabisa hii
Hapo alikuwa amesahau huyoo bibiee. Mkuu mimi ckupingi kabsa mm teknik nilizotumia kuwala hawa viumbe ni za kiboya kuliko uboya wenyew hii mbinu kwangu naona imechangamka kimtindoLabda na personalty yangu inachangia kupata mbususu kwa urahisi ......kwani hao wengine Hadi wapate hizi mbususu inatakiwa wafanye Nini.......?
Mtu yupo Kigamboni halafu unamwambia nenda na wewe Kigamboni, hiyo ni akili au mafi ?Nenda na wewe
Wenzako wanajua unamfuata mdada tu ghafla unamwambia "dada twende tukapime VVU-UKIMWI"Tatizo humu madomo zege ni wengi mno
Changamoto Sana aisee sema ni kukubaliana nao tu maana humu hata wasio jua kuandika nao wamo ....walio kimbia shule wapo pia ...na walio piga division one nao wamo.....tuvumiliane tuWenzako wanajua unamfuata mdada tu ghafla unamwambia "dada twende tukapime VVU-UKIMWI"
Duuh kidume naopolewa tena?Mlio opolewa kwa njia hii mnapata shida sana