mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,017
- 3,037
Mwenyekiti wa chama cha chadema mheshimiwa Freemani Mbowe ametangaza kutogombea tena uenyekiti pindi tu awamu hii itakapokwisha(2023).
OMBI:Mbowe agombee tena 2023 na baada ya hapo awamu inayofuata ndo asigombee.
SABABU:
Chadema imepitia kipindi kigumu sana hasa awamu ya 5 lakini kutokana na uimara wa MBOWE ilitoboa
Licha kutangaza kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025, bado ninaamini chadema kitabadili gia angani na hatimaye kitashiriki. Hivyo kama MBOWE atang'atuka basi chadema itaingia kwenye uchaguzi mkuu 2025 ikiwa dhaifu.
LAKINI uchaguzi mkuu ujao utakuwa kipimo kikuu kwa chadema kuona uungwaji mkono wao kutoka kwa wananchi MBOWE ni dhahiri amechoka na anahitaji kupumzika lakini siyo 2023.
Ni bora hata angejiuzulu LEO ili mrithi wake awe na muda mwingi wa kukijenga chama kuliko kukitelekeza chama mwaka 1 kabla ya uchaguzi mkuu.
NAJUA chama kama chama kina MFUMO IMARA isingekuwa shida,ila kwa mienendo ya siasa zetu CHAMA NI MTU,na mtu mwenyewe ni MBOWE.
KI-ITIKADI mimi ni CCM(mshabiki) na nipo TIMU MAGUFULI kindakindaki
OMBI:Mbowe agombee tena 2023 na baada ya hapo awamu inayofuata ndo asigombee.
SABABU:
Chadema imepitia kipindi kigumu sana hasa awamu ya 5 lakini kutokana na uimara wa MBOWE ilitoboa
Licha kutangaza kutoshiriki uchaguzi mkuu 2025, bado ninaamini chadema kitabadili gia angani na hatimaye kitashiriki. Hivyo kama MBOWE atang'atuka basi chadema itaingia kwenye uchaguzi mkuu 2025 ikiwa dhaifu.
LAKINI uchaguzi mkuu ujao utakuwa kipimo kikuu kwa chadema kuona uungwaji mkono wao kutoka kwa wananchi MBOWE ni dhahiri amechoka na anahitaji kupumzika lakini siyo 2023.
Ni bora hata angejiuzulu LEO ili mrithi wake awe na muda mwingi wa kukijenga chama kuliko kukitelekeza chama mwaka 1 kabla ya uchaguzi mkuu.
NAJUA chama kama chama kina MFUMO IMARA isingekuwa shida,ila kwa mienendo ya siasa zetu CHAMA NI MTU,na mtu mwenyewe ni MBOWE.
KI-ITIKADI mimi ni CCM(mshabiki) na nipo TIMU MAGUFULI kindakindaki